Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hongera zako Charles Hillary na mwaka mpya mwema,2022.Kazi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezeka nina rafiki zangu baba yao pia alikuwa polisi na wao walikuwa wanakaa morogoro. Walikuwa wanafanya biashara ya kuchukua nguo zanzibar na kuleta huku, kuna kipindi walienda wakati wa mfungo na wao ni wakiristo hotel zote zilikuwa zimefungwa baada ya kuzunguka bila mafanikio ndio wakakumbuka kina charles walikuwa wanaishi huko ndio wakaenda kula na biashara ikaishia hapoCharkes Hilary ni mtu wa Malinyi mkoa wa Morogoro Zanzibar aliishi wakati baba yake akiwa Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar.
Duu tutaimiss sana couple yake na Ivona Kamuntu!Wakuu Kuna Mabadiliko Ya Nafasi kule Ikulu Zanzibar.
Charles Hilary ameteuliwa na Rais Mwinyi Kuwa DG mpya Wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar..
Kulikoni Wa Kwetu Huyu Van Mohammed Tena Kuliwa Kichwa?View attachment 2063000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao ni Nyehunge though ni mjitaCharles Hillary ni mpogoro wa Morogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar miaka mingi iliyopita.
Kuna waziri wa maji mwana mke Tz? Mke ni mkuu wa mkuu wa wilaya, fulani huku bara.
Hongera zake sana kwa teuzi hii ambayo ni moja ya nafasi nyeti sana. Huyu ni mwandishi wa habari mmbobezi aliyedumu katika uandishi wa habari na utangazaji. Alikuwa kivutio kikubwa sana RTD katika utangazaji wake wa mpira kwa uwezo mkubwa wa kushika majina na kuyatamka ya wachezaji na namna ya kipekee kufanya hata kama haupo uwanjani unajiona kama upo.Achaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ZanzibarView attachment 2063046
Ww na yy mwenyw nani anajifahamu zaid? mana mwenyw anasema kazaliwa Zanzibar kaondoka Zanzibar akiwa na miaka 9Charkes Hilary ni mtu wa Malinyi mkoa wa Morogoro Zanzibar aliishi wakati baba yake akiwa Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar.
Nenda kaangalie Nyundo ya Baruan Muhunza, mwenyew anasema kazaliwa Zanzibar, ww na yy nani anajifaham zaid?Upo sahihi kabisa, wanaosema Charles Hilary ni Mzanzibari ni vijana tu wa kwenye huu mtandao ambao kila mmoja anataka ajifanye anajua. Majina yake kamili ni Charles Martin Hilary Mkwanga. Sekondari alisoma Kinondoni Muslim na kumaliza kidato cha nne 1979 na kujiunga RTD 1982. Zilizofuata ni kozi mbalimbali za utangazaji na uzoefu wa kazi. Kazi walianza mwaka mmoja na Betty Mkwassa wakati huo akiitwa Betty Chalamila. Kwa hiyo ukweli ni kuwa Bwn Charles Hilary ni Mpogoro ( kabila dogo la Kindamba), hana uhusiano na Uzanzibari hata kidogo na wala lafudhi yake ya kuongea siyo ya Kizanzibari,.
huyu kwa mujibu wa yy mwenyw si wa kuhamia, kazaliwa Zanzibar, baba yake ndo alihamia kikaziMada imejaa upotofu na majuha
Humjui mtu unapiga kimya.
Hawa wanaosema jamaa mzenji, ndio hawahawa waliokua miaka nenda rudi wanadhani Mwinyi ni mzenji pia. Kuishi sehemu tofauti na origin ya baba yako hakufuti asili ya mtu nyie watoto wa juzi mliojazana humu JF.
NO, NO, NO na sitaki kusadikisha hata kidogo na hilo, alafu imekuwa tabia ya ajabu sana mtu akiwa na grant fulani eti ni kipenyo, ni mtumishi wa kawaida tu although hata wewe ni afisa kipenyo kwa Taifa lako.Inawezekana ni afisa kipenyo
NdioCharles Hillary ni Mzanzibari?
Ww jamaa ni Muongo na wala hujui chochote kuhusu Charles Hillary nyie ndo wale mnatusumbua vijiweni kila kitu mnajifanya mnajua kumbe fiksiHuyu ni kama alivyokuwa Jaji Agostino Ramadhani.
Ni miongoni mwa wazazimbari wachache ambao ni wakristo. Wakkristo Zanzibar ni wengi tu hasa wa madhehebu ya Katoliki, Anglican na haya ya kiroho
NdioHivi Charles Hilary ni mzanzibar mzawa?
Marin alishafariki yapita miana 4 sasaMalin hasan malin yupi yule aliyekuwa mpiga domo mkubwa wa makao makuu ya nchi yenu yawe dodoma?
Charles Hilary ni Mzanzibari mzawa, ambapo kwenye ukoo wao kuna mchanganyiko wa Waislam na Wakristo.Huyo nasikia ni mzaliwa wa Jang'ombe sema huu ukafir kautoa wapi au ndio aliweka jina la bosheni lakini ni mandevu?
Sasa unamkatalia nini mwenzako kuelezea mawazo yake? Unajua historia ya Kanisa la Mkunazini na lile jingine la Mbweni? Zenji kuna makanisa ni ya Zamani sana kushinda mengi yaliyopo bara.Ww jamaa ni Muongo na wala hujui chochote kuhusu Charles Hillary nyie ndo wale mnatusumbua vijiweni kila kitu mnajifanya mnajua kumbe fiksi
Huyu wa kwetu hela ya kitengo inamtosha.Wamkumbuke huyu wa kwetu jf naye
Ova
Ubaguzi aliuanza mchongameno, mbona Samia akiteua kutoka Zanzibar mnabweka snAcha ubaguzi ww