Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tetesi kuwa ni mtoto wa John OkeloCharles Hillary ni mpogoro wa Morogoro, wazazi wake walihamia Zanzibar miaka mingi iliyopita.
Daaah ww jamaa.Kuna tetesi kuwa ni mtoto wa John Okelo
Anaweza akawa baada ya Samia hajachelewa, katiba inamruhusu.Hongera sana. Rais Hussein Mwinyi ndiyo alihitajika kuongoza Tanzania kwa karne hii.
Kwani Zanzibar hakuna ukristu na makanisa?Huyo nasikia ni mzaliwa wa Jang'ombe sema huu ukafir kautoa wapi au ndio aliweka jina la bosheni lakini ni mandevu?
Inawezekana ni afisa kipenyoYes, you've wrote.
Ila juu ya yote Charles alikuwa mwajiriwa wa serikali akatoka na serikali bado inamuamini na sasa inampeleka ikulu.
Ni mtanzaniaCharles Hillary ni Mzanzibari?
Charles Hillary ni Mzanzibari?
NdioCharles Hillary ni Mzanzibari?
Wewe ndo huelewi kabisa !Kwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
Huyo nasikia ni mzaliwa wa Jang'ombe sema huu ukafir kautoa wapi au ndio aliweka jina la bosheni lakini ni mandevu?
Mpogoro huyoooPigia jibu mstari.
Ungekuwa wew usingeenda muache akamalizie carrier yake kule huku akila kuku kwa mrijaKwa cheo na mshahara wake pale Azam Media kwenda huko ni anguko kubwa sana ni sawa na Mchezaji wa Man City kuja kuchezea Ndanda
ChatoYanatakiwa yawe wapi?!