Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Kura zenyewe hazikutimia - kasaidiwa sana huyu jamaa hadi aibu kwa mtu mwenye status kama yake.
 
Wengi wanajiingiza kwenye siasa kwasababu ya kuzuhia kutochunguzwa na vyombo vya dola si unajua uheshimiwa
 
Mzee Kimei aliongea fyongo alipompa taarifa Mh Halima Mdee. Na Mh Halima alimjibu kishkaji bila ya kutaka aonekane alichosema ilikuwa fyongo. Mshaurini Dr Kimei kukaa kimya kwenye vitu vigumu vya kutetea serikali. Serikali kweli imefilisi mifuko ya kijamii ya wafanyakazi na kwa muda mrefu anatoa utetezi usio na mashiko kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…