Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

Exposure ni "noun" sasa "verb" yake ni ipi?

Expose: to provide someone with the opportunity to experience new ideas, activities etc so that they can learn about them.

For Example: Schools are again "exposing" children to the classics.

Ninaomba unisahihishe kama nimekosea mkuu.
Umejitahidi kufafanua soja
 
Mtu aliyekua analipwa zaidi ya mil 30 kwa mwezi leo hii mnamwita ana njaa , duh tuna safari ndefu sana , kimei ana hela chafu na wala hayo sijui ma v8 hajaanza kuyatumia leo ,kumbuka zawadi tu ya harusi ya mwanae alimpa nini , watu wako vyema sana nchi hii
 
Duuuh, hii sijui mimi mkuu na sio lengo la mada hii...
Huyu bora angeekaa nje ya siasa tu huko ni kujichora
Hivi ulimsikia aliyekuwa waziri wa viwanda/biashara jana au juzi huko bungeni naye analalanika biashara hali ngumu mpaka kufungwa na mmbo ya ukusanyaji wa kodi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom