Charles Kimei: Serikali itakuwa tayari kurejesha Kodi iliyokusanywa kwa shinikizo? Mwigulu amjibu

Charles Kimei: Serikali itakuwa tayari kurejesha Kodi iliyokusanywa kwa shinikizo? Mwigulu amjibu

nami nilishangaa kusikia ameteuliwa waziri wa fedha, hii nchi ina vituko sana, huyu alikuwa hastahili kabisa kuwa waziri na yeye analijua hilo
👇👇
Tatizo ni kwamba wakati wa uundaji wa serikali huwa kuna kubalance mikoa. Yaani at least kila mkoa awepo waziri.

So, ukiangalia Singida hao ndio wanasiasa wakubwa waliopo.

  • Mwigulu
  • Mkumbo ( Ingizo jipya )

Hata Shonza alikuwa anapitia mbinu hii kupata Unaibu Waziri, maana ndiye aliyekuwa mwanasiasa anayefahamika huko Songwe japo sasa hivi wameingia kwenye ushindani na Selasini.
 
Mwigulu hakujibu aliloulizwa na alilojibu hajaulizwa.
Exactly!!! Amejilambalamba tu,

Nadhani Kimei ameuliza swali technically na wisely kutoichafua serikali, ila Waziri aliyejibu akili matope
 
Msimuwekee mama maneno mdomoni. Muacheni aamue anavyotaka. Ni kweli wapo wanaopwaya. Wapo wenye mazoea. Ila sio kila siku kuchagua na kutengua. Kazi zitafanyika lini?
Kwani mkuu, mawaziri wanafanyaga kazi, zaidi ya kuongea?! Sasa Kwani hata mtu akiteuliwa asubui, si anaweza tu kuongea mchana?!
 
Mwigulu Nchemba..jitu katili sana.. ambae yupo tayari kupoteza watu wote ili CCM ibaki madarakani
 
Kazi ya mchaga hiyo ni kuuwa kazi ya watu kwenda ulaya VISA, NDEGE, NGUO LENGO NI KUFURAISHA JAMII YA WAJENGA MITARO YA MAJI MACHAFU NA KUJIKOJOLEA



Kipindi spika anasema atake asitake magu ataongezewa, uli refer kabila lipi?
 
Huyu kibaraka katili toka kwa Mwendazake amepewa madaraka yanayomzidi kimo.
Wala si kibaraka. Mkuu nikwambie jambo. Sheria ya kodi ipo wazi. Wabunge wengi nao hawajui sheria za kodi. Ukionewa unafuata hatua na zipo wazi. Pale TRAB kuna kesi toka za mwaka 2007 mpaka leo hazijaamliwa. Na serikali kupitia serikali haina chochote inaweza kukifanya kesi zikienda Huko. Sheria pia ipo wazi kuhusu Taasisi za Dini na NGO. Zinatakiwa kupewa Kibali na Commissioner, lakini pia hazipewi Msamaha kama watu wanavyozani. Zinapewa punguzo la 25% ya mapato yao yasipigwe kodi.

Mara nyingi ukipewa msamaha wa 25% kwenye mapato unaishia kuwa na Hasara na hivyo haulipi kodi. Ndio maana taasisi za dini hazilipi kodi mara nyingi.

Usipotii Sheria unapigwa kodi kama kawaida.

Pia wana JF niwakumbushe jambo moja muhimu, Sheria ya kodi hata Rais si Rahisi kuiingilia. Anaweza kufanya hivyo halafu anasubiri Bunge lipitishe ndiyo inakuwa sheria.

Nakumbuka Hayati Magufuli alishawahi lalamikia Mahakama za Rufani za kodi kuwa haziamui Kesi Mapema. Na kesi nyingine zimebaki hapo hakuwa na cha Kuwafanya. Na Serikali haiwezi hata shika mali ya mtu kama issue ipo Mahakama za kodi.

Mimi kwasababu nimekuwa Tax Consultant wa miaka mingi, natamani Nchi yangu iwekeze kwenye elimu ya mlipa kodi. Watu hawaelewi sheria ndio maana wanalalamika mno kwa kila jambo hasa Masuala ya Kodi.

Niwaulize, lini umesikia CRDB, NMB, Vodacom, Airtel, Cocacola, Pepsi Co, AZAM, Viwanda vya vingi wanalalamika kuhusu kodi? Hawalalamiki kwasababu wana watu Wazuri/ Wataalamu wa Kodi wanao simamia Makampuni hayo hapo tajwa. Wanakutana na Ukaguzi, lakini baada ya huo ukaguzi wana watu safi wa kusimamia mambo yao ya kodi.

Wana JF mwambieni Mama Kitengo cha Elimu kwa mlipa kodi kimekufa au kipo dhaifu sana ama tuanze fundisha elimu ya Mlipa Kodi Primary Schools au Secondary angalau kwa level ya Utangulizi tu.

Kwa hiyo wamekubali kwa kauli moja kwamba marehemu alikwapua fedha za watu bila kufuata sheria eee!! hii nchi ilikuwa inaelekea kubaya aisee
 
Mama anafuta sana kuniteua sema ID yangu imemchanganya hajanijua anauliza nami sasa nataka nipumzike
 
Ina maana Kimei hayajui haya? Au waziri amekwepa kinamna swali halisi la KImei?
Hawa nahisi, kimtizamo tu, walishawasiliana wakapiga STORY juu ya jambo hili, wakapeana heads up, wakaambiana maswali na majibu, hapo ni ektini tu wanakamlisha komedi tu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom