Ethan athman
Member
- Mar 29, 2021
- 18
- 17
Mwigulu atumbuliwe hafaii kuwa wazir wa fedha.hii kashfa inamuhusu .aondoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post ya sentensi moja tu ni ya fitina zaidi kuliko substance yenye kueleweka.Post imekaa kifitna na KIMAJUNGU TU.....
Tulia kunywa maji uandike vizuri. Ni kweli Mwigulu ni KIRUSI ndani ya serikali ila andika vizuri basi Great Thinker.Mwigulu atumbuliwe hafaii kuwa wazir wa fedha.hii kashfa inamuhusu .aondoke
Hakika Comrade!Post ya sentensi moja tu ni ya fitina zaidi kuliko substance yenye kueleweka.
Japo simpendi Mwigulu lakini mkuu hujafafanua hata kidogo umeandika kama vile umepata ruhusa ya RC ChalamilaMwigulu atumbuliwe hafaii kuwa wazir wa fedha.hii kashfa inamuhusu .aondoke
Tatizo ni hizi konyagi za kupima alafu mchana hujala kituTulia kunywa maji uandike vizuri. Ni kweli Mwigulu ni KIRUSI ndani ya serikali ila andika vizuri basi Great Thinker.
Savimbi Mwigulu ana kashfa kama milioni hivi wewe unazungumzia ipi?
Acha majungu...weka nyama za kutosha ktk taarifa yakoMwigulu atumbuliwe hafaii kuwa wazir wa fedha.hii kashfa inamuhusu .aondoke
Hapana hii ni diamond afu toka ale kongolo moja janaTatizo ni hizi konyagi za kupima alafu mchana hujala kitu
Alale kidogo then anywe maji baridi mengiHapana hii ni diamond afu toka ale kongolo moja jana
Atumbuliwe Dr MpangoMwigulu atumbuliwe hafaii kuwa wazir wa fedha.hii kashfa inamuhusu .aondoke
Post haina maelezo, lakini na ww unaitolea ufafanuzi ambao hatuufahamu!Huu ni wizi wa kipindi kile taifa likiwa msibani sidhani kama Mwigulu alishatangazwa kuwa waziri wa fedha.