Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nin
Mbona alipatia sana tu, maigizo ni kujilazimisha kitu ambacho sio halisi au wewe kichwani Maigizo unadhania ni nini??Alianza kuzingua alipoojilazimisha lisauti la mkwaruzo. Otherwise angefanya vizuri zaidi.
Serikali au wadau hamnunui kaz zao , mnanyapia za wizisema hata hivyo serikali yetu imepuuza sanaa. hakuna walichopata zaidi ya umaarufu walionao.
Nimecheka kwa sauti"Twenty baba , twenty mwanangu umependa utamuoa hujapenda utamuoa "
Mzee ni Moja kati ya Wazee wa hovyo kutokea duniani kwenye karne dume tangu kuumbwa mbingu na nchi na vyote vijazvyo ndani yake . Maisha hayana mwenyewe huwezi kuamini maisha yamemnyookea uzeeni.
Mungu azidi kumpa maisha marefu yaliyojaa Kheri na baraka tele ili azidi kufyetua viwanda Kwa dada zetu wanaopenda watu wa kideo
Maindaaaa mwananguu
Haka kamsemo inaonekana alikuwa anakapenda sana sio 😆Maindaaaaa mai doutaaaaa