Charles Magari tokea kuondoka Tanzania, sanaa basi

Charles Magari tokea kuondoka Tanzania, sanaa basi

waliondoka yeye na Mohamed mwikongi baada ya uchaguzi wa 2015 , Mohamed mwikongi aligombea ubunge kupitia ACT wazalendo segerea na yeye mzee magari aligombea kupitia ACT kinondoni nia yao aikuwa ubunge bali ni political assylum kwenye nchi za ulaya na wamefanikiwa walianza kukaa kwanza UK now ndio sijui walipo pound 5000 kila mwezi kwa ajili ya matumizi yako bado chakula malazi kila kitu unagaramiwa na serikali kwa maisha ya kibongo bongo msanii gani wa bongo movie atakaye kataaa?
 
waliondoka yeye na Mohamed mwikongi baada ya uchaguzi wa 2015 , Mohamed mwikongi aligombea ubunge kupitia ACT wazalendo segerea na yeye mzee magari aligombea kupitia ACT kinondoni nia yao aikuwa ubunge bali ni political assylum kwenye nchi za ulaya na wamefanikiwa walianza kukaa kwanza UK now ndio sijui walipo pound 5000 kila mwezi kwa ajili ya matumizi yako bado chakula malazi kila kitu unagaramiwa na serikali kwa maisha ya kibongo bongo msanii gani wa bongo movie atakaye kataaa?

Wakimbizi wa wapi wanalipwa paundi 5000 kwa mwezi?
 
waliondoka yeye na Mohamed mwikongi baada ya uchaguzi wa 2015 , Mohamed mwikongi aligombea ubunge kupitia ACT wazalendo segerea na yeye mzee magari aligombea kupitia ACT kinondoni nia yao aikuwa ubunge bali ni political assylum kwenye nchi za ulaya na wamefanikiwa walianza kukaa kwanza UK now ndio sijui walipo pound 5000 kila mwezi kwa ajili ya matumizi yako bado chakula malazi kila kitu unagaramiwa na serikali kwa maisha ya kibongo bongo msanii gani wa bongo movie atakaye kataaa?
Mkimbizi halipwi hela hiyo. Akijitahidi sana ataishia kulipwa US$ 350 kwa mwezi
 
Bado tuna JB jerusalem A.K.A ERICK FORD alitisha sana kwenye ile movie ikapigwa sebenw remix "ERICK FODIII TUMEMUONAAA" Acha kabsa bongo movie ilikua zamani bna[emoji91][emoji91]
Moja kati ya vichwa kwenye sanaa ya Tz basi JB chini ya kampuni lake la JERUSALEM FILMS anafanya vizuri.

Hakuna bongo movie walitia mkono ikawa ya hovyo, BADO NATAFUTA, SHIKAMOO MZEE, CHAUSIKU ni baadhi ta films ambazo walifanya vizuri sana.

Sijajua sikuhizi.
 
Back
Top Bottom