Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga tela,ngoja nianze kujipendekeza ACT mapemaUchaguzi wa 2025 nahama Tanzania kwa style hii
Mimi nimepata kachama flan kachanga nimepata na kanafasi la uongozi nakomaa nacho😁😁😁Naunga tela,ngoja nianze kujipendekeza ACT mapema
Tualikane pm mkuu,kizuri kula na nduguyo[emoji847]Mimi nimepata kachama flan kachanga nimepata na kanafasi la uongozi nakomaa nacho[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa kwakweli alituburudisha sana. Tunamshukuru aliutendea haki muda wake.Kama mnakumbuka gwiji mkubwa wa sanaa bwana Charles Magari na sauti yake nzito ya mkaruzo wa chini.
Kipindi cha bongo movie ulitamba sana ila Kanumba kufariki tu sijawai kukusikia tena ila nasikia unaishi USA anaposema ndoto zinapotimia.
View attachment 2528192
Na wewe ni kenge na mpumbavuWewe ni mjinga na muongo
Unaishi ughaibuni mpaka utakapochoka wewe na kuamua kurudi bongoUchaguzi wa 2025 nahama Tanzania kwa style hii
🤔Roma anafanya nini mbele
GoodUnaishi ughaibuni mpaka utakapochoka wewe na kuamua kurudi bongo
Sasa serikali inahusikaje kwenye itafutaji wao???sema hata hivyo serikali yetu imepuuza sanaa. hakuna walichopata zaidi ya umaarufu walionao.
Kati ya vitu vilinishinda kutazama ni hizo kitu zinaaitwa bongo movie...
Mara ya mwisho kuwa mfuatiliaji wa hizo vitu (wakati huo tukiita tu maigizo) ni wakati wa Mambo Hayo na Kaole (enzi zile za Nyamayao, Muhogo...), Kaole walinifurahisha kwa kuwa scripts zao zilizingatia mno ufasaha wa lugha ya Kiswahili...kina Mwita Maranya na Onyango...
Halafu ukute unakomaa na sci fi za wambele.
Jamani tuwasaidie hawa wasanii wetu kwa kusaport vya kwao ili wazidi kutuletea vulivyo bora.
Kanumba aliwahi kusema,hata ray tatizo la yote haya ni bajeti,huwezi tengewa na mfadhili 5mln utoe kitu kinachoeleweka,lazima upruni kuendana na hela iliyopo.mfadhili pia haelewi maana hana uhakika kama mauzo yatavuka 15ml,achukue taje 7 faida na 8 awaache mgawane[emoji16][emoji16]
Bajeti ya animation kama rango tu ni pesa za kibongo bilion 400 na zaidi,imagine kutoka milion 5 mpaka bilioni 400 utakuwa umenuna mara ngapi mpaka uje ufurahi[emoji1787][emoji1787]
Wewe ni muongo. Pauni 5000 kwa mwezi haiwezekani labda paundi za Sudan.waliondoka yeye na Mohamed mwikongi baada ya uchaguzi wa 2015 , Mohamed mwikongi aligombea ubunge kupitia ACT wazalendo segerea na yeye mzee magari aligombea kupitia ACT kinondoni nia yao aikuwa ubunge bali ni political assylum kwenye nchi za ulaya na wamefanikiwa walianza kukaa kwanza UK now ndio sijui walipo pound 5000 kila mwezi kwa ajili ya matumizi yako bado chakula malazi kila kitu unagaramiwa na serikali kwa maisha ya kibongo bongo msanii gani wa bongo movie atakaye kataaa?
Mkiwa na beki tatu?Nimekumbuka kwny movie ya Kanumba ile ya young billionaire"kwa sauti ya mkwaruzo akimnanga ,aunt Ezekiel "hii takataka ya kutupa dampo" anavoitamka hiyo takataka , tulikua tunacheka sana home,na kutaniana
Mwaka jana nilimuona Saskatoon Canada nikajua anaishi Canada
Canada gan we si bodaboda mwenzetu hapa kimara suka brooMwaka jana nilimuona Saskatoon Canada nikajua anaishi Canada
Kwani Bodaboda haruhusiwi kusafiri?Canada gan we si bodaboda mwenzetu hapa kimara suka broo