Charles Magari tokea kuondoka Tanzania, sanaa basi

Baba wa maigizo alifanya ikafa alipoondoka ni KANUMBA TUU
hoja dhaifu na ya kijinga maigizo hata kanumba aliyakuta na kafa mwenyewe watu bado wanafanya na wanapiga hela ma movie hadi netflix sema wewe shabiki yake ndo umekufa kiufatiliaji
 
sasa vile hamna kitu ni vile ushamba wa kutaka kuona waswahili wenzetu ndo ilifanya tuwakubali
 
Mzee alikua mkaksi huyu in real life.
Alisepa mbele. Ni mjanjamjanja huyu mtani wangu.
 
Ndiyo, akiwa na familia hela inaongezeka lakini hata kama ni familia ya baba , mama na watoto wanne, bado hela yake haitafika US$ 600 kwa mwezi.
Kwa pound 600 kwa mwezi uingeleza unaishi vipi?
 
Tatizo ni kuwa waigizaji ni wale wale. Tanzania inahitaji waigizaji angalau 100,000 hivi.
 
Tatizo ni kuwa waigizaji ni wale wale. Tanzania inahitaji waigizaji angalau 100,000 hivi.
Ukitazama mfano juakali asilimia kubwa ni sura mpya au ramata alizozitengeneza hv karibuni. Sio akina ray sijui wolper sijui nani.
 
Huyu alikuwa pia ni Askari Polisi. Mwaka 1992 alishwahi kufika nyumbani kwetu anamtafuta mtuhumiwa fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…