Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

We UTOPOLO ni wapi alikwambia mzungu anaemsema ni manara na sio said? Mwisho kabisa angalia wapi umejikwaa na sio ulipoangukia.
 
Manara ni Mzungu???
 
Sahihi,Simba walikuwa wanamwona mdogo tu ndio maana hata yeye alikuwa analalamika analipwa laki 7 tu
 
Chasambi alipojifunga mlimshobokea,kafunga goli tena mnalilia lia
 
Wewe mchepuko wa manara una shida. Haji ndo mzungu? Yaani anaendaje kuomba msamaha kwa kumpa goli mzungu?mmemuuliza chasambi mzungu yupi?acheni ufalah nyie madogo
 
Manara , mwenyewe kasemaje! Kuna watu weupe wengi tu wanaitwa Zungu n hawana shida!
Ila Mzee Manara naye anazidi! Mbona yeye enzi zile alikuwa anambagazq Mwakalebela na tumbo lake!🤭
 
Haji Manara si mtu wa kutiliwa maanani wala kuombwa msamaha kwani yeye mwenyewe anajiitaga Mwarab mara mzungu koko mara half cast wa Kiha, kwa kifupi hata yeye mwenyewe hajijuwi ni wa race gani. Anaombwa msamaha kwa lipi sasa? Kwanza aseme mwenyewe anataka aitwe nani kuanzia leo hii.
 
Alisema mzungu
Akaulizwa mzungu Gani?
Akamtaja Haji
Haji gani? Mambo ya mahamakani mazito sana ,Haji na Haji Manara ni watu wawili tofauti kwenye mahakama.

Haji Manara siyo Mzungu pia hata kama alisema maana anaweza kumuuliza kwani Wewe ni Mzungu? Nilimaanisha Haji manara mzungu ambaye siyo wewe ,wewe ni mwafrica Mtanzania hauna asili ya Mzungu.
 
Tuna mfanyakaz mwenzetu albino tunamwita mzungu basi anafurahi na sisi tunafurahi pamoja naye, maisha yanakwenda.
 
Umeanza kushabikia mpira juzi? Eti manara kaifanya Simba ijulikane ndani na nje. Simba na Yanga zinajulikana ndani na nje muda mrefu tu. Acheni kuwapa watu unuhimu wasiokuwa nao nyie makolo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…