ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Mkuu wapi watu wameanza kukimbia huku na huko
Hahaa, mkuu, kwanza umejijibu - watu wanakimbia vita. Ni sawa. Vita vipo sehemu nyingi duniani wakati huu. Na hilo la vita lilitabiriwa pia. Pili, kwa kuwa maarifa yameongezeka, watu siku hizi "wanakimbia" huku na huko kwa pikipiki, magari na ndege 🙂
 
Hahaa, mkuu, kwanza umejijibu - watu wanakimbia vita. Ni sawa. Vita vipo sehemu nyingi duniani wakati huu. Pili, kwa kuwa maarifa yameongezeka, watu siku hizi "wanakimbia" huku na huko kwa pikipiki, magari na ndege 🙂
Hivi wewe unavijua vita au hizo biblia mnazisoma Mmezigeuza juu chini?

Kafatilie vita vya wa Amaleki, Wafilist, Wamoabu, vita ya Jeshi la Nebdkadineza dhidi ya Waisraeli, Washami na wasamaria, watu walikufa kwa idadi kubwa kwa siku haijawahi kutokea ktk modern world.

Nitakupa mfano.

Vita walivyopigana Waisrael dhidi ya wabenjamini walikuwa wanachinja na kuua wapiganaji, watoto na wanawake kwa siku elfu 70 hadi elfu 80.

Soma: Waamuzi, utaona baada ya Wabenjamini wa Yerusalem kumbaka yule Mwanamke wa Msafiri walichofanywa.

Kama ni mwisho wa dunia ungeanzia hapo

Vita ya Gaza israel inayoendelea hadi leo vifo hata elfu 50 havifiki kwa miaka miwili.
 
Chatgpt asipo dhibitiwa ataleta shida Jana nimechati nae.kama mwana kabisa ...haifai kabisa...Ina Mambo mengi ambayo akili ilitakiwa kuchakata Ila yeyewe inalipa majibu fasta na kwa usahihi mzuri
 
Kutabiri kwamba maarifa yataongezeka siku zijazo ni sawa na kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.

Very banal and unimpressive.
 
Kama ni mwisho wa dunia ungeanzia hapo
Kuongezeka kwa maarifa ni moja tu kati ya dalili nyingi za kuja kwa Yesu na mwisho wa dunia. Soma Marko 13, kisha soma 2 Timotheo 3:1-9 utaona dalili nyingine.
 
Kutabiri kwamba maarifa yataongezeka siku zijazo ni sawa na kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.

Very banal and unimpressive.
Mkuu, try to imagine, ungekuwa uko hai miaka 2500 iliyopita, kisha ukafa, halafu ukafufuka leo na kuona maarifa yalivyoongezeka, usingesema ni unimpressive.

What makes Daniel 12:4 compelling is the scale and velocity of today’s transformation. For centuries, knowledge crept forward—it took 1,900 years, for example, to go from oil lamps to electric light. But in mere decades, we’ve seen the internet, computing, and AI like ChatGPT radically democratize access to information for billions at near-light speed. This isn’t just 'increase'—it’s a global deluge made possible only by once-unimaginable technology. Thus, it could mirror the 'time of the end' prophecy: not mere change, but a historical inflection point.
 
Kabisa aisee...bado kuna mengi yatakuja ya kushangaza..
 
Unateseka Ukiwa Wapi Ndugu?
Ekaeka
 
ChatGpt Inahusikaje Hapo Hapo Ungeweza pia Kusema Ujio Wa Gari Umetimiza utabiri uliotabiriwa miaka 2500 ilopita
 
Nikuulize huo wimbo umeimba wewe na vyombo umepigiwa kupitia simu au....
 
Nakwambia hivii, hata leo naweza kutabiri kirahisi tu kwamba dunia ikiendelea kuwepo kwa miaka 2500 ijayo, maarifa yataongezeka sana.

Kama ninavyoweza kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.

That is banal and unimpressive.
 
Katika kipindi chote cha tangu kuanza binadamu kujifshamu, ni lini maarifa yaliwahi kupungua? Kwamba sasa tuone kuongezeka ni unabii
 
Hashangai ndege iligunduliwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, anashangas AI
 
Nakwambia hivii, hata leo naweza kutabiri kirahisi tu kwamba dunia ikiendelea kuwepo kwa miaka 2500 ijayo, maarifa yataongezeka sana.

Kama ninavyoweza kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.

That is banal and unimpressive.
If something seems unimpressive to one person, that doesn't mean everyone sees it the same way. Personally, I find the increase in knowledge, especially AI, to be very impressive. And regardless of whether Daniel’s prophecy is seen as banal or unimpressive, it has been fulfilled. Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…