Hahaa, mkuu, kwanza umejijibu - watu wanakimbia vita. Ni sawa. Vita vipo sehemu nyingi duniani wakati huu. Na hilo la vita lilitabiriwa pia. Pili, kwa kuwa maarifa yameongezeka, watu siku hizi "wanakimbia" huku na huko kwa pikipiki, magari na ndege 🙂Mkuu wapi watu wameanza kukimbia huku na huko
Hivi wewe unavijua vita au hizo biblia mnazisoma Mmezigeuza juu chini?Hahaa, mkuu, kwanza umejijibu - watu wanakimbia vita. Ni sawa. Vita vipo sehemu nyingi duniani wakati huu. Pili, kwa kuwa maarifa yameongezeka, watu siku hizi "wanakimbia" huku na huko kwa pikipiki, magari na ndege 🙂
Kutabiri kwamba maarifa yataongezeka siku zijazo ni sawa na kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.Miaka takriban 2500 iliyopita, Mungu alimwambia Nabii Danieli awaambie watu kuwa wakati wa mwisho maarifa yataongezeka. Tunasoma hivyo katika kitabu cha Danieli 12:4: "Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka."
Leo, tunaona wazi kutimia kwa unabii huo kupitia maendeleo makubwa ya teknolojia, hasa katika Akili Mnemba. Zamani, maarifa yalihifadhiwa katika vitabu na kupatikana polepole, lakini sasa, kwa sekunde chache tu, mtu anaweza kupata maarifa na taarifa nyingi kwa njia ya mitandao, AI, na mifumo ya kisasa ya kompyuta. Akili Mnemba si tu kwamba inachakata taarifa haraka, bali pia inajifunza, inafikiri, na hata kusaidia kufanya maamuzi magumu. Ni dhahiri, maarifa yameongezeka kama ilivyotabiriwa.
Kuongezeka kwa maarifa ni moja ya dalili za siku za mwisho. Katika Mathayo 24:3-14, Yesu alieleza ishara na dalili nyingine zitakazotokea kabla ya kuja kwake na kabla ya mwisho wa dunia. Dalili na ishara hizo karibu zote zimeishatimia. Huu ni uthibitisho wa wazi kuwa Biblia ni kitabu cha kuaminika. Kwa wanaoamini kitabu hiki, kuongezeka huku kwa maarifa ni maonyo kwamba nyakati tulizo nazo si za kawaida. Huu ni wakati wa kuwa macho, ni wakati wa kujiandaa kiroho, na kusimama imara kwa Mungu, kwa kuwa siku ya kurudi kwa Yesu imekaribia!
Ibilisi anajua wakati uliobaki ni mchache(Ufunuo 12:12), kwa sababu hiyo anafanya kila jitihada kuwashawishi watu wasiamini kuwa Mungu yupo. Anatumia mbinu nyingi kuwashawishi watu wazame katika matendo ya dhambi kama ushoga, uzinzi, ulevi, wizi, uongo nk, ili siku hiyo ikifika waachwe, maana Yesu akirudi atawachukua na kuwapeleka mbinguni wale tu waliotubu dhambi zao na kumwamini Yesu. Watakaoachwa watabaki katika dhiki kuu ambayo haijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu(Mathayo 24:21); na hatimaye siku ya mwisho wote wasioamini watatupwa pamoja na Ibilisi katika moto wa milele(Mathayo 25:41).
Wimbo huu na picha hizi zimetengenezwa kwa msaada wa chatGPT/AI
View attachment 3235549 View attachment 3235550View attachment 3235551View attachment 3235552View attachment 3235553
Mkuu, try to imagine, ungekuwa uko hai miaka 2500 iliyopita, kisha ukafa, halafu ukafufuka leo na kuona maarifa yalivyoongezeka, usingesema ni unimpressive.Kutabiri kwamba maarifa yataongezeka siku zijazo ni sawa na kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.
Very banal and unimpressive.
Kabisa aisee...bado kuna mengi yatakuja ya kushangaza..Huyo ChatGPT mwenyewe hajazoeleka bado na tayari ameshapata wapinzani wake kina Deepsek na wengine wengi. Je, huoni baada ya miaka 5 hadi 10 ijayo patakuwa na maarifa tofauti na bora zaidi ya hizi akili mnemba? Huu ni mwanzo tu, maarifa kamili ni kwa karne zijazo mtumishi wa Mungu.
EkaekaIla masuala ya kuamini vitabu vilivyo kuja na mitumbwi ni kazi Sana.
.hapo muislamu hajaja na maandiko yake.
.Muhindu nae
. Watu wa Buddha nao.
ila sisi afrika Ina tutesa Sana, tume ikomalia mnooo.
wakati roho mbaya, chuki, mauaji, wizi, ndio sera zetu.
Nikuulize huo wimbo umeimba wewe na vyombo umepigiwa kupitia simu au....Miaka takriban 2500 iliyopita, Mungu alimwambia Nabii Danieli awaambie watu kuwa wakati wa mwisho maarifa yataongezeka. Tunasoma hivyo katika kitabu cha Danieli 12:4: "Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka."
Leo, tunaona wazi kutimia kwa unabii huo kupitia maendeleo makubwa ya teknolojia, hasa katika Akili Mnemba. Zamani, maarifa yalihifadhiwa katika vitabu na kupatikana polepole, lakini sasa, kwa sekunde chache tu, mtu anaweza kupata maarifa na taarifa nyingi kwa njia ya mitandao, AI, na mifumo ya kisasa ya kompyuta. Akili Mnemba si tu kwamba inachakata taarifa haraka, bali pia inajifunza, inafikiri, na hata kusaidia kufanya maamuzi magumu. Ni dhahiri, maarifa yameongezeka kama ilivyotabiriwa.
Kuongezeka kwa maarifa ni moja ya dalili za siku za mwisho. Katika Mathayo 24:3-14, Yesu alieleza ishara na dalili nyingine zitakazotokea kabla ya kuja kwake na kabla ya mwisho wa dunia. Dalili na ishara hizo karibu zote zimeishatimia. Huu ni uthibitisho wa wazi kuwa Biblia ni kitabu cha kuaminika. Kwa wanaoamini kitabu hiki, kuongezeka huku kwa maarifa ni maonyo kwamba nyakati tulizo nazo si za kawaida. Huu ni wakati wa kuwa macho, ni wakati wa kujiandaa kiroho, na kusimama imara kwa Mungu, kwa kuwa siku ya kurudi kwa Yesu imekaribia!
Ibilisi anajua wakati uliobaki ni mchache(Ufunuo 12:12), kwa sababu hiyo anafanya kila jitihada kuwashawishi watu wasiamini kuwa Mungu yupo. Anatumia mbinu nyingi kuwashawishi watu wazame katika matendo ya dhambi kama ushoga, uzinzi, ulevi, wizi, uongo nk, ili siku hiyo ikifika waachwe, maana Yesu akirudi atawachukua na kuwapeleka mbinguni wale tu waliotubu dhambi zao na kumwamini Yesu. Watakaoachwa watabaki katika dhiki kuu ambayo haijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu(Mathayo 24:21); na hatimaye siku ya mwisho wote wasioamini watatupwa pamoja na Ibilisi katika moto wa milele(Mathayo 25:41).
Wimbo huu na picha hizi zimetengenezwa kwa msaada wa chatGPT/AI
View attachment 3235549 View attachment 3235550View attachment 3235551View attachment 3235552View attachment 3235553
Nakwambia hivii, hata leo naweza kutabiri kirahisi tu kwamba dunia ikiendelea kuwepo kwa miaka 2500 ijayo, maarifa yataongezeka sana.Mkuu, try to imagine, ungekuwa uko hai miaka 2500 iliyopita, kisha ukafa, halafu ukafufuka leo na kuona maarifa yalivyoongezeka, usingesema ni unimpressive.
What makes Daniel 12:4 compelling is the scale and velocity of today’s transformation. For centuries, knowledge crept forward—it took 1,900 years, for example, to go from oil lamps to electric light. But in mere decades, we’ve seen the internet, computing, and AI like ChatGPT radically democratize access to information for billions at near-light speed. This isn’t just 'increase'—it’s a global deluge made possible only by once-unimaginable technology. Thus, it could mirror the 'time of the end' prophecy: not mere change, but a historical inflection point.
Mtumishi. Imetumika AI ipi kutengeneza huo wimbo?Wimbo huu na picha hizi zimetengenezwa kwa msaada wa chatGPT/AI
Hashangai ndege iligunduliwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, anashangas AIHakuna lolote. We waishangaa chatgpt kwa sababu mengine umeyakuta. Wewe wadhan watu wa zama za miaka ya 60 walioanaje uvumbuzi wa computer?
Mara ya kwanza kujua uwepo wa Google, nilikuwa nashangaa nasearch kitu inaniletea majibu niliona ni kitu kimoja amazing sana.
So chagpt ni uvumbuzi tu wa kawaida sema ni exciting kwa sababu ni uvumbuzi mpya.
Biblia inazungumza nini kuhusu utumwa?Tunaikomalia kwa sababu ina faida. Yaliyoandikwa katika Biblia yanadhihirika wazi kama uzi unavyoeleza
If something seems unimpressive to one person, that doesn't mean everyone sees it the same way. Personally, I find the increase in knowledge, especially AI, to be very impressive. And regardless of whether Daniel’s prophecy is seen as banal or unimpressive, it has been fulfilled. PeriodNakwambia hivii, hata leo naweza kutabiri kirahisi tu kwamba dunia ikiendelea kuwepo kwa miaka 2500 ijayo, maarifa yataongezeka sana.
Kama ninavyoweza kutabiri kuwa jua litaonekana kuchomoza kesho.
That is banal and unimpressive.