ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

ChatGPT imetimiza unabii uliotolewa takriban miaka 2500 iliyopita!!

Soma Biblia yako vizuri

Mt 11:13 SUV
[13] Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

Isaya, Daniel, Ezekieli na manabii wote ulitabiri mpaka Yohana baada ya hap hakuna utabiri mwingine.

Lk 24:44-45 SUV
[44] Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika Manabii na Zaburi. [45] Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Sielewi hata unataka kueleza nini...
 
Sielewi hata unataka kueleza nini...
Mt 11:13 SUV
[13] Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.


Manabii wote mwisho wa Utabiri wao kutimia ilikuwa ni kipindi cha Yohana mbatizaji.
 
Setfree

Soma hiki kitabu ujielimishe kuhusu vipi Biblia iklandikwa.

Who Really Wrote The Bible : The Story of The Scribes.

fbd01c11628ef94dd85e6c45787bc8ba-g (1).jpg


Author(s): William M. Schniedewind

Publisher: Princeton University Press, Year: 2024

ISBN: 0691233179,9780691233178


Description:
A groundbreaking new account of the writing of the Hebrew Bible

Who wrote the Bible? Its books have no bylines. Tradition long identified Moses as the author of the Pentateuch, with Ezra as editor. Ancient readers also suggested that David wrote the psalms and Solomon wrote Proverbs and Qohelet. Although the Hebrew Bible rarely speaks of its authors, people have been fascinated by the question of its authorship since ancient times. In Who Really Wrote the Bible, William Schniedewind offers a bold new answer: the Bible was not written by a single author, or by a series of single authors, but by communities of scribes. The Bible does not name its authors because authorship itself was an idea enshrined in a later era by the ancient Greeks. In the pre-Hellenistic world of ancient Near Eastern literature, books were produced, preserved, and passed on by scribal communities.

Schniedewind draws on ancient inscriptions, archaeology, and anthropology, as well as a close reading of the biblical text itself, to trace the communal origin of biblical literature. Scribes were educated through apprenticeship rather than in schools. The prophet Isaiah, for example, has his “disciples”; Elisha has his “apprentice.” This mode of learning emphasized the need to pass along the traditions of a community of practice rather than to individuate and invent. Schniedewind shows that it is anachronistic to impose our ideas about individual authorship and authors on the writing of the Bible. Ancient Israelites didn’t live in books, he writes, but along dusty highways and byways. Who Really Wrote the Bible describes how scribes and their apprentices actually worked in ancient Jerusalem and Judah.
 

Attachments

Setfree

Soma hiki kitabu ujielimishe kuhusu vipi Biblia iklandikwa.

Who Really Wrote The Bible : The Story if The Scribes.

View attachment 3235724

Author(s): William M. Schniedewind

Publisher: Princeton University Press, Year: 2024

ISBN: 0691233179,9780691233178


Description:
A groundbreaking new account of the writing of the Hebrew Bible

Who wrote the Bible? Its books have no bylines. Tradition long identified Moses as the author of the Pentateuch, with Ezra as editor. Ancient readers also suggested that David wrote the psalms and Solomon wrote Proverbs and Qohelet. Although the Hebrew Bible rarely speaks of its authors, people have been fascinated by the question of its authorship since ancient times. In Who Really Wrote the Bible, William Schniedewind offers a bold new answer: the Bible was not written by a single author, or by a series of single authors, but by communities of scribes. The Bible does not name its authors because authorship itself was an idea enshrined in a later era by the ancient Greeks. In the pre-Hellenistic world of ancient Near Eastern literature, books were produced, preserved, and passed on by scribal communities.

Schniedewind draws on ancient inscriptions, archaeology, and anthropology, as well as a close reading of the biblical text itself, to trace the communal origin of biblical literature. Scribes were educated through apprenticeship rather than in schools. The prophet Isaiah, for example, has his “disciples”; Elisha has his “apprentice.” This mode of learning emphasized the need to pass along the traditions of a community of practice rather than to individuate and invent. Schniedewind shows that it is anachronistic to impose our ideas about individual authorship and authors on the writing of the Bible. Ancient Israelites didn’t live in books, he writes, but along dusty highways and byways. Who Really Wrote the Bible describes how scribes and their apprentices actually worked in ancient Jerusalem and Judah.
Biblia inajieleza yenyewe vizuri tu. Ukiwa na Roho Mtakatifu sio lazima usome vitabu vya wengine ndio uielewe Biblia.
 
Miaka takriban 2500 iliyopita, Mungu alimwambia Nabii Danieli awaambie watu kuwa wakati wa mwisho maarifa yataongezeka. Tunasoma hivyo katika kitabu cha Danieli 12:4: "Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie mhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huku na huko, na maarifa yataongezeka."

Leo, tunaona wazi kutimia kwa unabii huo kupitia maendeleo makubwa ya teknolojia, hasa katika Akili Mnemba. Zamani, maarifa yalihifadhiwa katika vitabu na kupatikana polepole, lakini sasa, kwa sekunde chache tu, mtu anaweza kupata maarifa na taarifa nyingi kwa njia ya mitandao, AI, na mifumo ya kisasa ya kompyuta. Akili Mnemba si tu kwamba inachakata taarifa haraka, bali pia inajifunza, inafikiri, na hata kusaidia kufanya maamuzi magumu. Ni dhahiri, maarifa yameongezeka kama ilivyotabiriwa.

Kuongezeka kwa maarifa ni moja ya dalili za siku za mwisho. Katika Mathayo 24:3-14, Yesu alieleza ishara na dalili nyingine zitakazotokea kabla ya kuja kwake na kabla ya mwisho wa dunia. Dalili na ishara hizo karibu zote zimeishatimia. Huu ni uthibitisho wa wazi kuwa Biblia ni kitabu cha kuaminika. Kwa wanaoamini kitabu hiki, kuongezeka huku kwa maarifa ni maonyo kwamba nyakati tulizo nazo si za kawaida. Huu ni wakati wa kuwa macho, ni wakati wa kujiandaa kiroho, na kusimama imara kwa Mungu, kwa kuwa siku ya kurudi kwa Yesu imekaribia!

Ibilisi anajua wakati uliobaki ni mchache(Ufunuo 12:12), kwa sababu hiyo anafanya kila jitihada kuwashawishi watu wasiamini kuwa Mungu yupo. Anatumia mbinu nyingi kuwashawishi watu wazame katika matendo ya dhambi kama ushoga, uzinzi, ulevi, wizi, uongo nk, ili siku hiyo ikifika waachwe, maana Yesu akirudi atawachukua na kuwapeleka mbinguni wale tu waliotubu dhambi zao na kumwamini Yesu. Watakaoachwa watabaki katika dhiki kuu ambayo haijawahi kuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu(Mathayo 24:21); na hatimaye siku ya mwisho wote wasioamini watatupwa pamoja na Ibilisi katika moto wa milele(Mathayo 25:41).

Wimbo huu na picha hizi zimetengenezwa kwa msaada wa chatGPT/AI
View attachment 3235549 View attachment 3235550View attachment 3235551View attachment 3235552View attachment 3235553
Chat Gpt imeanza kutumika 2000 hivi bongo imekolea 2020 unaona tulivo nyuma
 
Mt 11:13 SUV
[13] Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.


Manabii wote mwisho wa Utabiri wao kutimia ilikuwa ni kipindi cha Yohana mbatizaji.
Duh, kipindi cha Yohana Mbatizaji kulikuwa na chatGPT? Hata redio hazikuwepo, ndege hazikuwepo...
 
Duh, kipindi cha Yohana Mbatizaji kulikuwa na chatGPT? Hata redio hazikuwepo, ndege hazikuwepo...
Kwani huo unabii umetabiri ndege, redio ama chatGpt?

Akili zako finyu ndio zimekutuma chatgpt, ndege n.k ndio kuongezeka kwa maarifa.

Daniel hakutabiri hayo maarifa unayoyawaza wewe.
 
Back
Top Bottom