Setfree
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,679
- 2,123
- Thread starter
- #61
Nimetaja AI kwa sababu ndiyo habari ya mjini kwa sasa. Ndege, meli, magari nk nk vyote vinatimiza unabii huohuo wa Danieli kwa sababu havikuwepo miaka 2500 iliyopita.Hashangai ndege iligunduliwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, anashangas AI