Mzee wa Torano
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 519
- 700
Acha zako we bwege,juzi nimelinda alone him,we umezima kiboya,shem yuko poaWe bwege sana siku hizi husomeki kitaa shemeji hajambo
Poa poa kichaa wangu, kesho nitakucheki turekebishe ile ishu mjizi wanguAcha zako we bwege,juzi nimelinda alone him,we umezima kiboya,shem yuko poa
[emoji109]Poa poa kichaa wangu, kesho nitakucheki turekebishe ile ishu mjizi wangu
[emoji123][emoji109]
Naona dada yake na fid Q huhitaji marafikiNdio maana sinaga mashost wala sihitaji marafiki[emoji23]
Raha sana Mkuu! Kuna mwana sasa ni Mh, tunavyowasiliana tunajua wenyewe, New Year hiyo;Mwanangu text ya kwanza ni "We Boya" Nae hunijibu ww nambie "Snitch yule demu wa jana ulikula vitu??" Boys raha sana.
Kwa hiyo hata kujuchapia niikutaarifu[emoji2]Kitu pekee tunachoogopana ni kuchapiana!.. Ukinichapia bila taarifa tegemea ugomvi.
**** kitu kinawawezeshaDah nikichat na machalii zangu ni full kutusiana kinoma kama ugomvi kumbe ndo kawaida ya machalii wa kitaa.
Hahaha apendeze wapi sura imemkomaa kama anakunya kinyesi cha mapera hahahah chaaaa[emoji23]mguu wenyewe hana anatembea kama anaingia mlango wa leba hahaha [emoji23] ila watu wana mambo dunia hiiMwaka jana mwishoni nilikuwa ndani ya office moja inayohusika na masuala ya insurance katikati ya jiji{sitaitaja hapa wahusika wanaweza kuwepo humu},nikiwa namsubiri jamaa niliyekuwa na appointment nae pale reception walikaa wadada wawili wa kawaida sana wala sio warembo kiviile.
Sasa akaingia mwenzao kajipara balaa haijulikani ana rangi gani hata dress code yake haikuwa rafiki hata kidogo,wakamwita basi mara "eeh jamani umependezaa,hilo gauni umenunua wapi!mwengjne hee wigi lako zuri nani kakubandika mara tena hee kiatu chako shoga kimeonyesha mguu wako ulivyoumbika" blah blah blah blah akaelekea ndani kwenye ofisi yake.
Nilikuja kugutushwa na msonyo alioutoa mmoja wa wale ma receptionist huku akisema "apendeze wapi uso umemkaa kama anaku.nya kinyesi cha mapera mwingine akadakia mguu wenyewe hana anatembea kama anaingia mlango wa leba huku wakigongeshana viganja na kicheko cha dharau.
Picha ilijirudia jinsi yule mwenzao alivyokuwa anafurahi kusifiwa basi niliwaangalia kwa hasira hadi wakanistukia ila mie nikaona poa tu toka siku hiyo nikajua jinsi madem walivyo wanafiki.
Africa labda kama duniani huko ila Africa hakuna mwanamke anaemtakia mwenzie heri zaidi ni kicheko usoni moyoni chuki isiyofichika na ndivyo ilivyo hawatokaa wabadilike ila ni nadra sana wanaume kukaa na kuanza kumsema mwenzao vibaya labda kuhusu anavyovaa etc.
Hahah sihitaji marafiki,labda badae wakitokea aje mmoja wa kuongea nae na mwingine wa kumuongelea hahaha....Naona dada yake na fid Q huhitaji marafiki
Hatari mkuu,wanawake hawapendani na ukijaribu kutafuta hasa ninini kiini cha chuki zao huwezi kuona.Hahaha apendeze wapi sura imemkomaa kama anakunya kinyesi cha mapera hahahah chaaaa[emoji23]mguu wenyewe hana anatembea kama anaingia mlango wa leba hahaha [emoji23] ila watu wana mambo dunia hii
Mara mseme mie marafiki zangu ni wanaume..mara ooh mwanaume na mwanamke urafiki tuu haiwezekani. Loh wacha tuwagegede tuu maana hamjitambuiNdio maana sinaga mashost wala sihitaji marafiki[emoji23]
ukiifikiria njia hiyo jibu langu YES!..Kwa hiyo hata kujuchapia niikutaarifu[emoji2]
Hizi ID hizi kama za kina Gilesi.. Naona mkuu unachana sioHahah sihitaji marafiki,labda badae wakitokea aje mmoja wa kuongea nae na mwingine wa kumuongelea hahaha....
rafiki wa kweli yukoje?ni mkimya au anayechonga,yule aliyekupa jina,au pengine anayekuponda? anayezuia usidondoke au anayesubiria kukuokota?Au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka? hakuna adui mbaya ka rafiki yako mwenyewe ambaye hajui ka yupo nawe....(in fid's voice)
if you really knew that breed you'd have taken back what you said.That conversation is bullshit...whoever crafted it, just wasted his poor time.
Haha haha haha haha Umewaza nn chalii wnguTotaly true....
Wanawake kupendana ni sawa na kuitafuta demokrasia Africa.