Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!

Chato yenyewe ndio kupo hivi hayo si ni mabanda ya nguruwe.
wajameni mlitaka paweje tofauti na sehemu nyyingine tz?!!? uwanja wa ndege tu umetupigisha makeleleeee!!!. je, chato yote ingebadilika na kuwa kama oysterbay si tungelia kabisa?!!!?. hiyo ndiyo chato na Tanzania yote iko hivyo hata kílimanjaro mabanda kama hayo yapo
 

Kubadilisha sehemu sio pesa tu. Gbadolite palitumika pesa matrilion Lakini hapakubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…