mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
yaani hatishiki kabisa yani. ameamua kufia chamaHuyo ndani ya siku tatu, atafanywa kitu mbaya
Hii sio nchi ya kuvimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani hatishiki kabisa yani. ameamua kufia chamaHuyo ndani ya siku tatu, atafanywa kitu mbaya
Hii sio nchi ya kuvimba
Husna Amri Said na makada wengine wa CHADEMA wameendelea na zoezi la kupandisha bendera za Chama katika Jimbo lote la Chato ambako CCM waliamua kuzishusha.
View attachment 1486502
View attachment 1486500
Kwa mkwala wake hawamuwezi na wakimfanyia wanajichafua. Kumbe chato kuna upinzani hatareeHuyo ndani ya siku tatu, atafanywa kitu mbaya
Hii sio nchi ya kuvimba
Mataga ya Lumumba yalishafokonyolewa mitaro yakawa mapunga.Kuendelea kuliwa kitumbua na mlewa konyagi kwa miaka mingine mitano yataka moyo.
Ndiyo maana hawataki.
Pole ndugu, kafuatilie tshs 50 mill kwa kila kijiji labda zaweza kukuokoa kutoka kwenye ukata.Sema iko kwenye familia yako ww unapata mgao wa Bilioni 8
Ma Dokta na Ma Profesa wa CCM ni aibu tubu kwa wasomi wengineItakuwa wamechoma wenyewe wanachadema baada ya kuhamia ccm. Hicho kibanda cha baa ndipo ilipo ofisi ya chadema ya wilaya ya Chato!
Kama bendera haina shida mnapiga kelele za nini?Inatakiwa kumla jicho mshusha bendera mmoja iwe fundisho kwa wengine wenye akili za kwenye korodani.
Bendera ina shida gani?
Hadithi za watoto wa chekechea. Mlihadithiwa lini vile?Kuna mtu ndani ya CHADEMA alimuagiza Mbowe alewe chakali kiasi cha kuhisi yuko kwenye chopa akaamua kuruka na parachute akaporomoka kwenye ngazi na kuumiza mguu? Mjinga akiamua kufanya ujinga wake hahitaji kuagizwa na mtu.
Mwigulu ndio aliahidi bungeni kutoa ushahidi mbinguni na duniani kuthibitisha ugaidi uliomtia ndani Mh Lwakatare. Mpaka leo hatoa ushahidi hata hapa duniani.Mkuu Mh Rwakatare ndiye aliyetujulisha kuwa mlikuwa na ugaidi, labda mfanye kujisafisha
Yaonekana wamwabuduuyo mwenye hiko ki bar inaonekana hataki kuendelea kutoa hiduma kwa wateja zake na ndio maana kaweka bendera ya chadema, yaan kwa jins nimjuavyo mimi msukuma atakifunga iko ki bar sasa hv hapa, hawezi vumilia kuona ivyo vibendera vikipepea hapo
Juzi kati hapa mh Rwakatare alimwaga mboga kwa kuanika ugaidi alotumwa na mbowe enzi zileMwigulu ndio aliahidi bungeni kutoa ushahidi mbinguni na duniani kuthibitisha ugaidi uliomtia ndani Mh Lwakatare. Mpaka leo hatoa ushahidi hata hapa duniani.
Nilikuwa nje ya JF/social media kwa karibu siku nne, waweza niwekea hapoJuzi kati hapa mh Rwakatare alimwaga mboga kwa kuanika ugaidi alotumwa na mbowe enzi zile