Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Waweke tume. Huru meko wao anapotezwa asubuhi kweupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Yesu wao mbona muoga n amelegea kama mlenda anaogopa hadi bendera? [emoji3]View attachment 1482608
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambapo kabla hata kipyenga hakijapulizwa haya yanatendeka , Je ni nani aliyeagiza upuuzi huu ?
Matanga mnapata tabu sana, yaani mmefanya siasa miaka mitano tena peke yenu lakini chadema bado inawapa tabu kiasi hiki! Msichokijua ni kuwa wanaowapa tabu siyo chadema bali ni wananchi ambao hawawataki, ndiyo mana mmefanya kila hujuma juu ya CDM lakini bado mmekwama, hiyo yote ni kwa sababu hamjajua tatizo hasa liko wapi. Chukua hii, tatizo ni wananchi hawaitaki ccm, mtapoteza muda kuhangaika na cdm.Nguo za gaidi huchomwa
Kama mwenyekiti anakula Konyagi unategemea nini?inakwaje ofisi za chama zipo bar?
Picha mmewekewa, mtadai na videoUzushi
HII NI HABARI YA KUSISIMUA NA YA NEEMA NYINGI SANA. PEOPLEEEEEEEEEESSSSSS!!!Tunapaswa kujihoji. Jana vijana wetu wa UVCCM huko Chato kwa kujiamini kabisa kuwa sisi ni chama tawala na hakuna wa kutufanya kitu wakaamua kupita mitaani na kuanza kushusha Bendera za Chadema.
Kilichotokea na kuonyesha watu hawaogopi kuwa Chato ni nyumbani kabisa kwa mwenyekiti wa CCM, Vijana wetu wakashushiwa kipigo cha nguvu hasa na sasa hivi wako wanapatiwa matibabu.
Jee habari hii ikiingia masikioni mwa wanachama wengine wa vyama pinzani watakuwa na woga tena tukiwaletea ujinga kwa kutumwa na viongozi wetu?
Natoa tahadhari tuache ujinga na kujidanganya kwa kudanganywa na viongozi wetu, hawa jamaa wamechoka sasa na tukiwachokoza wanaweza kutung'oa meno kwa kipigo. Katika RAIA waliopigika na maisha wanao wakubali ni wengi kuliko sisi hivyo twaweza chezea kipigo bure!View attachment 1483393
Na mleta mada ni mwana CCM kindakindaki hahahaha no need of sourceHII NI HABARI YA KUSISIMUA NA YA NEEMA NYINGI SANA. PEOPLEEEEEEEEEESSSSSS!!!
CHADEMA iko mioyoni mwa wananchi. We shall overcomeWao Kwanini wanapandisha bendera kwenye himaya ya Ccm ?
CHADEMA iko mioyoni mwa wananchi. We shall overcome