KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Jielekeze kwenye hoja na jibu swali sio kuporomosha matusi.Wewe umelogwa unafananisha hiyo saccoss na TANU, walevi wanatafuna tu ruzuku pale makao makuu ufipa utafikiri zile nyumba ya kulala wageni kule uwanja wa fisi
Kwani ripoti ya CAG ni chama kipi kilipata hati safi na kipi kilipata hati chafu.