Chato: Kijiji kilichokaribia kuwa makao makuu ya mkoa-2

Tulishaingizwa Chato wote lakini Mungu wa Watanzania ni mkubwa!
 
Umeeleweka vizuri sana.
 
Hapana. Nachukia kwamba Magufuli alitumia mabilioni ya watanzania kujenga miradi mikubwa ambayo sasa inakufa kwa sababu haikustahi kujengwa Chato.
Ilistahili ijengwe kwenu? Hakuna miradi mfu maeneo mengine? Machinga complex? Tanganyika Packers? Gineries all over the country? Reli ya kaskazini-nayo mmushukuru huyu mnayemtukana leo kwa kuifufua, majumba ya sinema ya mikoa, skimu za umwagiliaji nk
 
Ilistahili ijengwe kwenu? Hakuna miradi mfu maeneo mengine? Machinga complex? Tanganyika Packers? Gineries all over the country? Reli ya kaskazini-nayo mmushukuru huyu mnayemtukana leo kwa kuifufua, majumba ya sinema ya mikoa, skimu za umwagiliaji nk
Vyote ulivyotaja havikufanyika kwa weledi ilikuwa ni danganya toto yote hayo yamekufa na Magufuli. Alikuwa hasara kwa nchi.
 
Ilistahili ijengwe kwenu? Hakuna miradi mfu maeneo mengine? Machinga complex? Tanganyika Packers? Gineries all over the country? Reli ya kaskazini-nayo mmushukuru huyu mnayemtukana leo kwa kuifufua, majumba ya sinema ya mikoa, skimu za umwagiliaji nk
Tulia basi mzee tulia
Hawakusema isijengwe hapana .walisema ilijengwa bila kufuata utaratibu wa bunge! Hajatukanwa na mtu watu wameandika kitabu baada ya utafiti
I AM THE STATE
 
Vyote ulivyotaja havikufanyika kwa weledi ilikuwa ni danganya toto yote hayo yamekufa na Magufuli. Alikuwa hasara kwa nchi.
Mtatumia miaka yenu iliyosalia kumuandika magufuli na namna hiyo jina lake litazidi kudumu. Leta hasara zaidi alizoleta tujadili
 
Mtatumia miaka yenu iliyosalia kumuandika magufuli na namna hiyo jina lake litazidi kudumu. Leta hasara zaidi alizoleta tujadili
Akina Idd Amin na Mobutu nao watakumbukwa daima lakini kwa mabaya sio mema. Wewe nitajie mradi mmoja wa Magufuli unaoliingizia taifa letu hela.
 
Mkwere unamsingizua tu. Zaidi ya kujijengea makazi yake binafsi alifanya nini tena ndani ya Msoga?
We umepita lini msoga bwashee .kuna bonge ya round about utadhani uko toronto. Katikati ya round about kasimika bonge la nanasi nahsi limetengenezwa kwa tanzanite
 
Mambo mengi ndio alifanya kuendeleza kwao kwa faida yake ila hii chuki isifanye miradi mingine ikatelekezwa ambayo ingeleta manufaa kwa taifa. Mfano mbuga ya burigi ikiendelezwa inaweza kuleta manufaa makubwa. Mfano kuna watalii wanaoenda Rwanda wengi tu wanaishia kuona nyani na rwanda imevutia sana watalii kama hii mbuga isingejumuishwa kwenye chuki kwa mwenda zake binafsi naamini ingeleta manufaa kwa Taifa. Hasa kwa watalii ambao wangeweza kuconnect kutoka Rwanda.
 
Akina Idd Amin na Mobutu nao watakumbukwa daima lakini kwa mabaya sio mema. Wewe nitajie mradi mmoja wa Magufuli unaoliingizia taifa letu hela.
Sawa, Huna hasara zingine? Zimeisha?nakupa hasara zaidi, Ya ndege za cash umeisahau? Reli ya SGR? Meli ziwa Victoria? Hospital za Kanda za Rufaa? Majengo ya mahakama? Tuendelee?
 
Yaani huko jehanam wangemgeuza kuni za kuwachomea waovu wenzake
 
Ukitaka kujua kiwango cha upumbavu pamoja na tatizo la afya ya akili kwa watanzania, basi angalia wafuasi wake
 
Sawa, Huna hasara zingine? Zimeisha?nakupa hasara zaidi, Ya ndege za cash umeisahau? Reli ya SGR? Meli ziwa Victoria? Hospital za Kanda za Rufaa? Majengo ya mahakama? Tuendelee?
Hakuna mahali tumetupa fedha kama mradi wa ndege. Tunanunua ndege na kuzipaki uwanjani. SGR, hospitali ya rufaa Chato ni kichekesho kikubwa! Yapo mengi.
 
Hakuna mahali tumetupa fedha kama mradi wa ndege. Tunanunua ndege na kuzipaki uwanjani. SGR, hospitali ya rufaa Chato ni kichekesho kikubwa! Yapo mengi.
Sawa Tuendelee kuaainisha hasara, daraja la Kijazi-Ubungo, stand ya Magufuli mbezi, upanuzi wa barabara hadi kibaha, ujenzi na uhamiaji makao makuu dodoma
 
I am the state. Kitabu kizuri cha kujifunza madhara halisi ya ukosefu wa utawala bora.
U4= 1. Uthubutu 2. Ushupavu 3. Ubinafsi 4. Ukabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…