poor mentalityUnajuwa mimi tatizo langu jina 'CHATO' unajuwa wakati mwingine jina lina reflect mtu ukiwa tajiwa msichana mfano jina Maria basi unajuwa tu mhh huyu kama mlokole ila ukisikia jina Lulu unajuwa hapa kitu hata kama sio kweli. Chato badilisheni jina...
Nahamia Chato. Kumenoga
Dodoma sio Chato?
Kwa hiyo huko Burundi hakuna pisi kali ?Tatizo chato hakuna pisi kali wenyeji wake ni wakimbizi wa burundi wahutu na watwa
Ni chatoDodoma sio Chato?
Kipindi hicho Cha ukamilishaji sukari itakua haishikiki kwa utamuTutapeleka na wanawake wazuri huko machotara ya Zanzibar, yakazaliane huko kuupendezesha mji.
Kama huna taarifa ile Hospitali ya Chato ni Zonal Level Kama unavoona Bugando au Mloganzila.
Ukomo wetu wa kuongoza sio miaka 5.
Utaratibu upo hivi; Miaka 5 ya mwanzo ni kipindi cha kujifunza na kupanga. Miaka mitano ya pili ni IMPLEMENTATION ya kile kilichopangwa miaka 5 ya mwanzo.
Miaka 5 ya tatu ni kipindi cha ku wrap up yaani kuhitimisha implementation . Ni kipindi cha UKAMILISHAJI. Yaani Ni kipindi cha kukamilisha uumbaji wa nchi.
Chato - Burigi National Park,
Chato Airport,
Chato International Stadium (Coming soon),
Chato Mataa,
Hospitali ya Rufaa ya Chato,
Bandari ya Nyamirembe Chato,
TRA Chato;
Chuo Cha Ufundi Stadi - Chato
.
.
Kwa hisani ya watu wa CHATO!!
.
.
Mtapapenda tu
Unawajua watwa na wahutu wewe,pisi kali za burundi ni watutsi onlyKwa hiyo huko Burundi hakuna pisi kali ?
wala sio poor mentality, azam anauza bidhaa kwa jina wala sio lazima ubora unga huo huo wa Azam ukiweka jina lingine mtu anaweza kusema mbona unga mbaya. Jina lina matter sana tupoor mentality
IHalmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Naam, chato itakuwa kwa kasi kutumia rasilimali za taifa wakati jiwe akiwa madarakani tu. Akitoka madarakani, Chato itaporomoka kwa kasi kama Tanga.Chato kufuata nyayo za Tanga?
Sasa unafikiri ni jina ndio lilijikuza lenyewe kutokana na uzuri wa jina hilo, au huduma bora na bidhaa zilizokidhi viwango na ubora ndivyo vilivyofanya jina la azam kuwa brand kubwa na trusted.wala sio poor mentality, azam anauza bidhaa kwa jina wala sio lazima ubora unga huo huo wa Azam ukiweka jina lingine mtu anaweza kusema mbona unga mbaya. Jina lina matter sana tu