Chato kumenoga, NHC yatangaza kuuza viwanja 1,200 pembeni mwa ziwa Viktoria. Panafikika kwa usafiri wa anga, majini na ardhini

Naam, chato itakuwa kwa kasi kutumia rasilimali za taifa wakati jiwe akiwa madarakani tu. Akitoka madarakani, Chato itaporomoka kwa kasi kama Tanga.
Dhahabu (madini yasiyoshuka thamani) bado yataendelea kuchimbwa Geita...ukaribu na jiji la Mwanza napiga mishe zangu MWanza jioni naenda zangu kulala kwenye mansion langu liliopo ufukweni Chato! usafiri wangu wa Mwanza to chato ni speedboat yangu safi! Jambo jingine usalama....lazima Chato ilindwe na mwisho kufurahia uoto asilia! (Maneno huumba!)
 
Tuangalie sana. Taifa letu lina tunu ambazo tusipoangalia zitaingia kwenye misukosuko. Mwenyezi Mungu azidi kubariki Taifa letu na kulilinda
 
Naam, chato itakuwa kwa kasi kutumia rasilimali za taifa wakati jiwe akiwa madarakani tu. Akitoka madarakani, Chato itaporomoka kwa kasi kama Tanga.

Wenye masikio wasikie neno hili. Shukrani sana
 
Kiwanja Pembeni ya Ziwa Laki 6?? Mbona Bei ya Kutupa au ni Porini hakuna miundombinu yeyote?
 
[emoji1787][emoji1787]imebidi nicheke tuu
 
Duuh
 
Ninafungua kanisa nilitabiri hiki kitu kikatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…