Chato: Mkuu wa Wilaya akataa kuishi kwenye Nyumba ya Serikali akidai haina uzio. Anaishi hotel ya Burigi. Haya mambo hapo nyuma yalisahaulika

Chato: Mkuu wa Wilaya akataa kuishi kwenye Nyumba ya Serikali akidai haina uzio. Anaishi hotel ya Burigi. Haya mambo hapo nyuma yalisahaulika

Labda analipa Kwa mshahara wake.
Sasa kwa nini achezee mshahara wake kwa kulipia hotelini wakati Nyumba ya Serikali IPO?!
Kwanini anakataa au kuringa kuishi kwenye nyumba hiyo? wakati anaulinzi wa kutosha?!!!
 
Kalemani anahesabu siku zake katika ubunge, alikuwa pandikizi wa jiwe, bado manunga, ataondoka hapo kwenye udiwani na uenyekiti wa halmashauri
Ww una kipi hasa cha maana mpaka umnyoshee kidole Kalemani!!??
Kwa ni dhambi kuwa upande wa Magu....
kuna mitanzania ina akili fupi imekaa kichawi chawi. Kimajungu majungu. Kumbaf sana
 
Ww una kipi hasa cha maana mpaka umnyoshee kidole Kalemani!!??
Kwa ni dhambi kuwa upande wa Magu....
kuna mitanzania ina akili fupi imekaa kichawi chawi. Kimajungu majungu. Kumbaf sana
Kichwani uliwekewa matope badala ya ubongo?
 
Chawa wa kalemani amewakaza sana.

Usalama wake ni mhimu kuliko upumbavu wa medard kalemani aliyechomoa kamera za nyumbani kwa lisu siku wanamwagia mvua ya risasi.
Huu ni upuuzi mkubwa sana, kutumia hela za wananchi kwa starehe zako binafsi, wote waliokuwa wanakaa hapo walikuwa na mbwa na yeye ndo mtu!!

Mama Samia fukuza huyu mtu anaharibu hela za wananchi na mbaya zaidi hii inaweza kugeuka kuwa desturi kwa wengi kama hatua haitachukuliwa haraka!!
 
Usalama wake ni mhimu kuliko upumbavu wa medard kalemani aliyechomoa kamera za nyumbani kwa lisu siku wanamwagia mvua ya risasi.
Basi huyu jamaa soon atanikoma kwa threads za kumnanga. Kumbe ndiye yeye alifanya ushetani huu??
 
Mnajitoa ufahamu tu.
Kama hiyo nyumba sio salama ni wajibu wa serikali
Wote waliokuwa wanaishi hapo walikuwa wanaishi je? Kwanza nyumba zenyewe zinakuwa zimepangiwa walinzi usiku na mchana wamebeba silaha nzito nzito nani atakayeingia kwenye hiyo nyumba!! Mama Samia fukuza huyu mtu kabeba mabega juu ya kichwa, wengi wataigiza huu utamaduni wa hovyo sana
 
Ww una kipi hasa cha maana mpaka umnyoshee kidole Kalemani!!??
Kwa ni dhambi kuwa upande wa Magu....
kuna mitanzania ina akili fupi imekaa kichawi chawi. Kimajungu majungu. Kumbaf sana
kuwa upande wa meko ni laana, mjaaa laana yule ndio maana alikufa mapema.
 
Kalemani anahesabu siku zake katika ubunge, alikuwa pandikizi wa jiwe, bado manunga, ataondoka hapo kwenye udiwani na uenyekiti wa halmashauri
Kwani Kalemani akiondoka babaako ndio atakuwa Mbunge wa Chato? Ahahahahah! Kuna uwezekano babaako aliishakufaGA hata Ubalozi wa Nyumba Kumi hakuupataGA hata kama aliupendaGA sana! Ahahahahah!!
 
Kalemani anahesabu siku zake katika ubunge, alikuwa pandikizi wa jiwe, bado manunga, ataondoka hapo kwenye udiwani na uenyekiti wa halmashauri
Huyo Manunga ndio mpuuzi kweli na anajidanganya kuutaka ubunge
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Huyo alokupa taarifa akiona umeandika hapa siku nyingine hakupi umbea.
 
Mwache ale kwa urefu wa kamba yake.
Siku hizi kila mtu kambale anafanya anavyotaka.
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Akutumie na kapicha basi
 
Ataishije nyumba isiyokuwa na uzio bana! Vitu vingine hata sio vya kuweka humu, kumbuka uzio ni sehemu ya usalama wa familia sio urembo
Kwa akili za waswahili ipo siku atahamia mwingine atasema wabomoe anataka hewa na upepo mwanana
 
Mama fukuza huyo mkuu wa wilaya haraka Sana ,mm Niko tayari hata kuishi,kufanya kazi , kwenye nyumba bila siling board na milango Wala madirisha na Kaz za ukuu wa wilaya itafanyika kwa umahiri na uweledi mkubwaa

Naomba Kaz hyo kwa namba hz Kisha nitaripoti kituoni chapu

0787 454560
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Yuko sahihi namuunga mkono privacy na usalama unakuwa mdogo yuko sahihi akazie hapo hapo
 
Mama fukuza huyo mkuu wa wilaya haraka Sana ,mm Niko tayari hata kuishi,kufanya kazi , kwenye nyumba bila siling board na milango Wala madirisha na Kaz za ukuu wa wilaya itafanyika kwa umahiri na uweledi mkubwaa

Naomba Kaz hyo kwa namba hz Kisha nitaripoti kituoni chapu

0787 454560
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom