Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Haswaa tuandae sare za kina dada.Alete alete mapema ilintuandae sherehe sie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa tuandae sare za kina dada.Alete alete mapema ilintuandae sherehe sie!
Kabisa cute, tutakuwa tunakuchatisha tu😘😘😘Mambo ni pambe nianze kukaa ndani hadi siku yenyewe 😂😂😂😂
Friji ijazwe kabisa nikitoka ndani shavu dodoKabisa cute, tutakuwa tunakuchatisha tu
Kabisa kabisa....mapochopocho Kwa sana❤️❤️❤️Friji ijazwe kabisa nikitoka ndani shavu dodo
MhNyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Akiwa mbahili siku 40 baada ya honeymoon naita fuso linabeba kila kitu ndani hadi madodoki ya kuogea.Kabisa kabisa....mapochopocho Kwa sana❤️❤️❤️
Ee,tunachelewa kukimbia kwani?Akiwa mbahili siku 40 baada ya honeymoon naita fuso linabeba kila kitu ndani hadi madodoki ya kuogea.
Akileta mzaha nawaita kaka zangu wa hapa hapa jf wambonde.
😂😂😂😂 YalaaaaaaaaahEe,tunachelewa kukimbia kwani?
Ngumi zikianza 🏃🏃🏃🏃😂😂😂😂 Yalaaaaaaaaah
Kumrudisha ngumi mwiko.Ngumi zikianza 🏃🏃🏃🏃
🤣🤣🤣 KabisaKumrudisha ngumi mwiko.
Kukimbia tu rahisi kweli
Umeona eeehh!Haswaa tuandae sare za kina dada.
Ndio ccyUmeona eeehh!
Ukipata nafasi nchi hii,we kula tu,nchi imejaa viongozi wezi,wenye akili wenye madaraka ni wezi,wananchi wengi ni wajinga.Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Kashaleta? Maana nilikua offline kidogo
Kakimbia 😂😂Kashaleta? Maana nilikua offline kidogo
😄 😄 😄 😄