Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Katishwa na wapokea mahari mdogo wangu ww ungeacha atukute siku ya tukio hahahha π π πKakimbia ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katishwa na wapokea mahari mdogo wangu ww ungeacha atukute siku ya tukio hahahha π π πKakimbia ππ
Mim sitak mtu muoga muoga namtaka mwenye anaweza kumdunda Simba.Katishwa na wapokea mahari mdogo wangu ww ungeacha atukute siku ya tukio hahahha π π π
Ngoja wababe watakuja hhaahaMim sitak mtu muoga muoga namtaka mwenye anaweza kumdunda Simba.
Nawangoja wakifika kumi niwafanyie interviewNgoja wababe watakuja hhaaha
Garama za hotel si ajenge uzio tu?Ataishije nyumba isiyokuwa na uzio bana! Vitu vingine hata sio vya kuweka humu, kumbuka uzio ni sehemu ya usalama wa familia sio urembo
NdioMaana ndo mdau mkubwa huyo
Uko sahihi sana,hapo ukute kuna mpuuzi mmoja anabania hela ya huo uzio kisa hela zinapitia mikononi mwake...Ataishije nyumba isiyokuwa na uzio bana! Vitu vingine hata sio vya kuweka humu, kumbuka uzio ni sehemu ya usalama wa familia sio urembo
Vipi wale wenzetu wanaoishi kwenye Mansions zile zenye white picket fences ambazo mtoto anaweza hata kuruka hiyo fence na wao usalama wao upoje?Ataishije nyumba isiyokuwa na uzio bana! Vitu vingine hata sio vya kuweka humu, kumbuka uzio ni sehemu ya usalama wa familia sio urembo
Hivi kwa DC si huwa kuna ulinzi masaa yote?Uko sahihi sana,hapo ukute kuna mpuuzi mmoja anabania hela ya huo uzio kisa hela zinapitia mikononi mwake...
Nyumba nyingi za wakuu wilaya hazina fenceSasa hao wengine kama wameweza kuishi ndio ticket na yeye kuishi? Jengeni fensi ili Mkuu wa wilaya mpya aishi ,inakuwaje nyumba ya mtu mkubwa kama huyo haina fense?
Inawezekana,sina uhakika...Hivi kwa DC si huwa kuna ulinzi masaa yote?
NajipangaKashaleta? Maana nilikua offline kidogo
π π π π
chato niternational airport.Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.