Chato: Mkuu wa Wilaya akataa kuishi kwenye Nyumba ya Serikali akidai haina uzio. Anaishi hotel ya Burigi. Haya mambo hapo nyuma yalisahaulika

Chato: Mkuu wa Wilaya akataa kuishi kwenye Nyumba ya Serikali akidai haina uzio. Anaishi hotel ya Burigi. Haya mambo hapo nyuma yalisahaulika

Watume kikosi kimoja cha makomando wamlinde.
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Kwa nafasi yake angeweza kuweka uzio
 
Yuko sahihi mwacheni alale kwenye Hotel kwa usalama wake na familia yake.
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Kwao kuna uzio. Si angeenda kuishi magereza Chato ambako kuna uzio basi
 
Serikali impatie ulinzi wakati mchakato wa ujenzi wa fence unaendelea..kukaa hotelini ni gharama lakini pia usiri wa nyaraka zake unaweza kuwa hatarini,
Mwisho,hata kimalezi sio AFYA kuishi na watoto hotelini
Siku zote hujui ma DC wanalindwa na police nyumbani kwao?
 
Nyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.

Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.

Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.

Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.

N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Mbona unaendekeza ufukula we pimb! Unafikiri ufukura ni Dili sana eti . Jpm alikalilish sana kwamba ukilala shimoni eti ndo uzalendo kumbe Pepo la kimaskini lilikuwa linamtafuna. Ndo mana m afurahia kuendesha bodaboda na vicoba wakati hakuna mtoto wa mbunge Wala waziri mpaka jpm mwenye ambaye aliendesha bodaboda mana ni laana na jpm aliwaachia laana
 
Nchi inaendeshwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
AEb8rsjc.jpeg
 
Mbona unaendekeza ufukula we pimb! Unafikiri ufukura ni Dili sana eti . Jpm alikalilish sana kwamba ukilala shimoni eti ndo uzalendo kumbe Pepo la kimaskini lilikuwa linamtafuna. Ndo mana m afurahia kuendesha bodaboda na vicoba wakati hakuna mtoto wa mbunge Wala waziri mpaka jpm mwenye ambaye aliendesha bodaboda mana ni laana na jpm aliwaachia laana
Umetawaza hilo nyeo? Mbonq unasumbua wanaume.
 
Back
Top Bottom