Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tumia pesa ikuzowee.Kama ni kweli basi hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia pesa ikuzowee.Kama ni kweli basi hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma,
Umeolewa?Huyo alokupa taarifa akiona umeandika hapa siku nyingine hakupi umbea.
Mkuu wa wilaya hata akiishi uswahili kwa kazi zake hana tofauti na mahakimu mahakama ya mwanzo.Usalama wake ni muhimu!
Kwa nafasi yake angeweza kuweka uzioNyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Kwao kuna uzio. Si angeenda kuishi magereza Chato ambako kuna uzio basiNyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Namjua mpaka huko mashenzini anakotokea, BwongeraHuyo Diwani humjui so kaa Kimya
Siku zote hujui ma DC wanalindwa na police nyumbani kwao?Serikali impatie ulinzi wakati mchakato wa ujenzi wa fence unaendelea..kukaa hotelini ni gharama lakini pia usiri wa nyaraka zake unaweza kuwa hatarini,
Mwisho,hata kimalezi sio AFYA kuishi na watoto hotelini
Unataka kunioa au unataka unipatie mdogo ako?!Umeolewa?
Nataka ongeza mke ya tatuUnataka kunioa au unataka unipatie mdogo ako?!
Waliokaa hapo huko nyuma?Yuko Sahihi, usalama wake ni muhimu
Alete alete mapema ilintuandae sherehe sie!
Mbona unaendekeza ufukula we pimb! Unafikiri ufukura ni Dili sana eti . Jpm alikalilish sana kwamba ukilala shimoni eti ndo uzalendo kumbe Pepo la kimaskini lilikuwa linamtafuna. Ndo mana m afurahia kuendesha bodaboda na vicoba wakati hakuna mtoto wa mbunge Wala waziri mpaka jpm mwenye ambaye aliendesha bodaboda mana ni laana na jpm aliwaachia laanaNyumba hii imekuwa ikitumiwa na wakuu wa wilaya wote waliopita.
Inashangaza Deudedith Katwale baada ya kuteuliwa ameikataa.
Sasa serikali inalipa pesa nyingi kila Mwezi.
Kama ni ishu ya seng'enge bora aweke ahamie huko.
N:B nimepigiwa simu na mtu anaeishi Chato.
Umetawaza hilo nyeo? Mbonq unasumbua wanaume.Mbona unaendekeza ufukula we pimb! Unafikiri ufukura ni Dili sana eti . Jpm alikalilish sana kwamba ukilala shimoni eti ndo uzalendo kumbe Pepo la kimaskini lilikuwa linamtafuna. Ndo mana m afurahia kuendesha bodaboda na vicoba wakati hakuna mtoto wa mbunge Wala waziri mpaka jpm mwenye ambaye aliendesha bodaboda mana ni laana na jpm aliwaachia laana
🥰🥰🥰🥰😜Nipo nimejaa tele
😘😘😘Mambo ni pambe nianze kukaa ndani hadi siku yenyewe 😂😂😂😂🥰🥰🥰🥰😜Nipo nimejaa tele