DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Anataka Bei ya subuni ishuke Bei na Mafuta ya taa
Kwanini hajaimba katiba Mpya na mambo ya utawale Bora sioni Kama anakosoa Bali analengo la kuimba Mambo ambayo hayana msingi
Bei za vyakula
Katiba Mpya
Tume huru ya uchaguzi nk Ayo ndo mambo ya msingi
Kwanini hajaimba katiba Mpya na mambo ya utawale Bora sioni Kama anakosoa Bali analengo la kuimba Mambo ambayo hayana msingi
Bei za vyakula
Katiba Mpya
Tume huru ya uchaguzi nk Ayo ndo mambo ya msingi