DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Wanafasihi makasuku! Fasihi siyo kasuku ni kioo cha jamii
Matusi siku hizi yamebadilika nini, yamekuwa mapya eeh...nimesikiliza hadi mwisho sijasikia tusi hata moja angalau kwa yale tuliyoyazoea toka utotoni.
Asante Mayor QuimbyDraconian
Nadhani Tanzania bara ndio nchi pekee duniani ambayo inahitaji kupata uhuru tena kwa raia wake.
CCM sio chama cha siasa tena kwa sasa ni tabaka la wakoloni linaloongozwa na Jakaya Mrisho Kikwete, Bi Tozo ni governor anaefanya kazi kwa niaba yao na vyombo vya judiciary na ulinzi vipo kwa sababu ya kulinda maslahi ya wakoloni sio wananchi.
Shida zaidi hakuna hao wapigania uhuru hivyo vyama vya siasa ndio hovyo kweli kweli sio tu kwamba hawana misimamo, hakuna ata hao watu wenye uwezo wa kuendesha nchi; catch 22.
Anataka anunue mafuta sh.100 ahaaa ahaaa hata Pipi sio 100 tenaJamaa nyimb0 nzima analilia Sabuni na mafuta yashuke hahah...
CCM wanaharamu kabisa ninyi, wafungwa wengi wamekufa miaka michache baada ya kuachiwa huruApigwe kabisa huyo mbwa ndani ya magereza, apigwe mno ili akitoka akarekodi nyimbo vizuri, apigwe sana, akapigiwe huko chemba usiku, asubuhi anarudishwa, afanyiwe hivyo kwa wiki mbili au tatu, piga sana mbwa huyo, piga shoti za umeme, laza kwenye maji mpaka miguu ioze. Piga kichwa mpaka apoteze kumbukumbu maisha yake yote awe zezeta
Tuchange basi Ngosha!Wakili akijitolea kufuatilia hii hukumu pamoja na mwenendo kijana anaweza toka kwa kwa rufaa.
Huyo ni takataka, hafai hata kula chakula Cha jelaCCM wanaharamu kabisa ninyi, wafungwa wengi wamekufa miaka michache baada ya kuachiwa huru
Sad, wote hao waliuawa na serikali ya CCMMbona Roma mkatolik anaimba lakini hatukani Wala kudhalilisha taasisi na Mh. Rais WETU,
Sukuma Gang wamchangie PESA ya faini,
Then atafute hifadhi nchi za nje Kwa sabb Rais ni taasisi,
Kuna watu wameajiliwa ku eliminate Element wasije pita nae....
Cc. Alie mpiga kibao mwinyi
Cc. Yupo wap Alie Jaribu ku mvuta miguu jukwaani JK
We jamaa wa Kelebezo mbona leo umefurahi sana?Au atunge kibao kingine akiite "longo longo ya Katiba mpya na mariziano feki".
Dawa Juma.
Msema kweriii ni mpenzi wa Mwenyezi Mungu. Sema na wewe rafiki yangu ulimpania sana Rais, yaani umemtungia beti kama sita hivi🤣🤣🤣Au nasema uongo ndugu zangu?Wale waliomuhamasisha kutukana, halafu akasema yeye haogopi.
Lakini kweli hakuogopa maana amekiri kufanya kosa hilo. Hongera zake kwa kuwa mkweli.
Nimefurahishwa kwa kuona Msanii akifungwa kifungo kirefu huku waliotajwa na CAG wakitetewa na Spika.We jamaa wa Kelebezo mbona leo umefurahi sana?
Matusi sio Freedom of SpeechFreedom of speech inalindwa na Katiba.
Kama msanii angekuwa na wakili mzuri nadhani hangetiwa hatiani.
Kumtukana Rais maana yake ni nini? Kusema neno la kumshutumu Rais ni kumtukana? Wakili msomi angehoji mashahidi vizuri na mambo yangekuwa tofauti.
Maudhui ya wimbo siyo mazuri. Labda kufungia wimbo ingekuwa sawa lakini kutukana ni ishu tofauti.
Ni aibu kumfunga mwanamuziki kwa msingi wa maneno yaliyoko kwenye wimbo wake. Iko wapi artistic freedom?
Matusi ni yapi kwenye hicho kiburudisho?Matusi sio Freedom of Speech
Matusi ni udharirishaji
Sawa wanamtukana, je katiba na sheria zao za huko Ufaransa zinasemaje? Hapa ndipo mahakama inapafanyia kazi.Waandamanaji Ufaransa sasa wanamtukana sana Macron,tena wakati mwingine wanatengeneza sanamu yenye mfano wa sura yake na wanaichoma..Hakuna anaeshitakiwa hata mmoja.