Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

Intelligence Justice;
Hii ndiyo defamation to destroy other people's reputation na sheria ile uliyoitupia inamhusu huyu..

Na kwa kweli huyu anastahili Kwa sababu si tu amedhalilisha Imani na utu wa mtu mwingine Kwa maneno yake na kuusambaza katika media bali anasema mwenyewe kwenye maneno yake hayohayo kuwa haogopi kukamatwa Kwa kumtukana mtu mwingine...

Lakini wale waandishi wa kitabu cha "I AM THE STATE" kumhusu aliyekuwa Rais wa Tanzania (2015 - 2021) hayati John P. Magufuli hiyo si defamation na ukienda mahakamani utapata taabu sana kuthibitisha unless otherwise angekuwepo John P. Magufuli mwenyewe na zile mahakama zake na mahakimu wake wa kimkakati..

Hao wameandika kitabu kuhusu matendo ya uongozi wa aliyekuwa Rais wao. Ni mambo ya kweli, hakuna uongo na hayo kamwe hayawezi kuwa matusi..

Tatizo ni kuwa, wapenzi wa John P. Magufuli wamechukia kwa sababu upande wasioutaka (negative side) wa mtu wao umekuwa exposed na kwa tafsiri yao isiyoweza kusimama mbele ya sheria na haki, eti hayo ni matusi yanadhalilisha na kuvunja heshima na utu wa mtu wao na mkakimbilia kujificha kwenye sheria inayovuja isiyoweza kuwakinga mnapoloa na mvua ya mawe...!!.

Sikiliza ndugu @Intelligence Justice, mtu yeyote (ukiwemo wewe na hata mimi) aweza kujivunjia heshima na kuharibu utu wake mwenyewe kwa maneno na matendo yake. Na hayo matendo na maneno yake ndiyo huambatana nayo kokote aendako hata kama ni kaburini kama huyo aliyekuwa Rais wenu..!!

Poleni sana wana Chato.
 
Yeye kafanya Kwa nafasi yake hayo mingine imba wewe
 
Wewe utakuwa sio binadamu wa kawaida.

Jini wewe.
 
Ushasema ufaransa! Achana na mambo ya wazungu wewe!!hata kama Rais ndo wewe usingekubaliana na matusi kama hayo!

Aisee Mimi bora unipige kibao kuliko kunidhalilisha kiasi hicho bana!

Alafu watu kama nyie ndo mnafanya kunakuwa na ugumu wa kupata katiba mpya
 
Mahakama wanafanya upuuzi ,waende USA waone watu wanavyomtukana rais hadharani ,sijaona kosa la huyo msanii ,rais mwenye ushungi ndiyo nani? Alimtaja?

Unafanya makosa sana kulinganisha jamii ya america na tz. Sisi tuna calue zetu wao wana zakwao. Lazima tuwe na different views.
Kuna limitation kwenye uhuru , si tu unajisikia tu kutukana bila madhara
 
Serikali ingekua haraka hivi kushughulikia mafisadi tungekua mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…