Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

Wewe unaona alichokifanya huyu mjinga ni sawa?
 
Apigwe kabisa huyo mbwa ndani ya magereza, apigwe mno ili akitoka akarekodi nyimbo vizuri, apigwe sana, akapigiwe huko chemba usiku, asubuhi anarudishwa, afanyiwe hivyo kwa wiki mbili au tatu, piga sana mbwa huyo, piga shoti za umeme, laza kwenye maji mpaka miguu ioze. Piga kichwa mpaka apoteze kumbukumbu maisha yake yote awe zezeta
 
Rais mwenye mashavu hahaha

Hana wakubwa kwao huyu

Rais hata kama anazingua huwezi mtukana sababu ni mkubwa kwako ndo Maana wengi tulkua hatumpendi Jiwe lakini tulikua hatumtukani aisee

He was a leader na mapungufu yake yote alikua mkubwa kwetu pia
 
Huko magereza kwanza atafikia kipigo Cha mbwa mwizi, na ikibidi chakula chake kiwekewe viungo vya mapishi vya kulainisha Figo na maini
Yote hayo kwa sababu ya kurekodi nyimbo inayohoji religious symbols kama hijabu kuvaliwa na mkuu wa serikali ambayo ni secular?
Kitu ambacho ni kinyume na Katiba.

Hivi ushungi unatofauti gani na Rosary? Na kusema huenda raisi wetu ana mapunye kichwani ni haki ya kila Mtanzania kujua afya ya raisi wake.
 
Sasa kumbe mtu akiwa anafungwa jela ilikuwa sawa ila vipi kama mtu hasikii na anaendelea na makusudi kumdhihaki raisi. Huo sini utovu wa nidhamu
 
Huko magereza atachezeshwa mpaka atoke anakalia Tako moja
 
Sadist, atapigwa babaako mzazi labda
 
Ukisikia wasukuma ni washamba usibishe..

Haya mtani tangulia huko selo ukaone kati ya maisha ya mtaani na huko wapi ni magumu....Eti sabuni, mafuta na mkaa vimepanda bei 😂😂😂😂
Washamba ndio vipi unawazidi nini jibwa wewe?
 
Tena hiyo miaka 6 na faini aliyopigwa ni kidogo, alitakiwa apigwe miaka 10 na faini ya milioni 20 ili iwe fundisho kwa hawa wakosa adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…