Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Acha afungwe ni upuuzo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is a typical case ya this scenario Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?Msanii wa Nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma mkazi wa Kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Tsh. Milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kumtukana rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu wa mahakama ya wilaya Chato, Amalia Mushi, baada ya mshitakiwa kukiri kosa mbele ya mahakama hiyo.
Sie tupo zetu hukuuuuuuuu Tandahimba kwa raha zetuMtukanaji wa Chato, wakili wa Chato, hakimu wa Chato, mahakama ya Chato, mtajuana wenyewe watu wa Chato sie hayatuhusu
Baadhi ya lugha alizotumia hazina staha kwa viongozi wa kitaifa!Mimi angekula 12..viboko sita wakati anaingia na sita wakati anatoka akamuoneshe mke wake..Mjinga kabisa huyu..Unasema huogopi kukamatwa wewe ni Nani..haya Sasa wakusaidie hao waliokutuma..
Rais ni mtu mkubwa sana kwenye nchi yetu..wa enzi zile walikufuru wakata kumfananisha na Mungu..wewe ni Nani umdhihaki rais wetu..Hakimu Mushi fanya marejeo ya hukumu..huyu Mjinga aongezewe adhabu ili iwe fundisho kwa vibaraka wengine.
Sasa ile ilikua sunat kama sikoseiYule aliye mzaba kibao Rais Mwinyi ,alifugwa Mingapi?
Hayo mapumbu yanavyobinywa na Plaizi utaachaje kukiri tu😀Ukishakiri tu kazi imekwisha
Unajuaje kama kaimba mvaa ushungi wakati nyimbo ni ya kisukuma full.? Uhuru wa maoni uko wapi sasa hapo?wimbo umezungumzia mambo muhimu sana mfano kupanda kwa gharama za maisha ila hakukuwa na ulazima wa kutumia maneno kama msimbe sijui mvaa ushungi mara mapunye kwa kweli katukana na alistahili kuadhibiwa
MudderYule aliye mzaba kibao Rais Mwinyi ,alifugwa Mingapi?
Aliyeita raisi dikteta uchwara yeye alikuwa sahihi, yani hii nchi tupigwe nyuklia tu tuanze upyaKuna namna bora ya kufikisha mawazo mbona Roma kaimba vizuri hakuna anayehangaika nae
Rais yoyote ni taasis na kiongozi wa nchi hapaswi kuogopwa lakini anapaswa kuheshimiwa huyu adhabu aliopewa ingepunguzwa sawa lakini hakuna sheria kandamizi hapo