Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Utaonaje nawe uko ICU kwa sababu ya HAEMORRHAGIC S ....Mimi sijaona tusi hata moja hapo aisee.
Hakimu itakua katoa hukumu akiwa kalewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaonaje nawe uko ICU kwa sababu ya HAEMORRHAGIC S ....Mimi sijaona tusi hata moja hapo aisee.
Hakimu itakua katoa hukumu akiwa kalewa.
[emoji2956]Unafanya makosa sana kulinganisha jamii ya america na tz. Sisi tuna calue zetu wao wana zakwao. Lazima tuwe na different views.
Kuna limitation kwenye uhuru , si tu unajisikia tu kutukana bila madhara
Laigwanan El Comandante EN Lowassa alisema;Shule inahitajika kwa vijana wengi hasa wanaojihusisha na kuitumikia jamii.
[emoji106]Huu wimbo ni wakijinga. Mtunzi ni mtu wenye chuki binafsi tu. Huo siyo ukosoaji wa kawaida.
There is personal attack in this song
Jiheshimu basi....Kusanya michango, Mimi nitawapa Wakili
Haswaaaaa[emoji106]Ushasema ufaransa! Achana na mambo ya wazungu wewe!!hata kama Rais ndo wewe usingekubaliana na matusi kama hayo!
Aisee Mimi bora unipige kibao kuliko kunidhalilisha kiasi hicho bana!
Alafu watu kama nyie ndo mnafanya kunakuwa na ugumu wa kupata katiba mpya
Jifunze kiswahili Byabato....Mahakama zilizo kalilishwa ujinga wa kisheria
Watakuwa ni kijani wasiompenda mamaLabda katumwa na chama chake, Wacha aonje joto la jiwe,
Kila nchi ina sheria zake. Halafu huyu mshtakiwa amekiri mwenyewe, sioni kwa nini mnabishana hapa.Waandamanaji Ufaransa sasa wanamtukana sana Macron,tena wakati mwingine wanatengeneza sanamu yenye mfano wa sura yake na wanaichoma..Hakuna anaeshitakiwa hata mmoja.
Ndiyo ujinga wa kukaririshwa hisia za kisheriaUkishakiri kinachofuata ni hukumu
Wasukuma waliamini Magufuli ni Mungu aiseee. InasikitishaMagufuli alipokufa haikupita hata wiki, ndege 3 zilipotea
Ndege hizo ilitambulika kazipoteza Mkuu wa Majeshi
So Mshitakiwa hana haki ya Rufaa?Jiheshimu basi....
Pole Mkuu ilo lipo juu ya upeo wako.Ndiyo ujinga wa kukaririshwa hisia za kisheria
Ushamba na kumuabudu mwendazake, hata hajui Bei ya unga na mchele and sukari vilipandishwa na huyo, iwe fundisho, Hakuna chama kinachojielewa kinaweza tetea mshamba huyuWatakuwa ni kijani wasiompenda mama
Ukiambia uvue nguo ili waone kama umetairi au hapana unafanyaje?Matusi siku hizi yamebadilika nini, yamekuwa mapya eeh...nimesikiliza hadi mwisho sijasikia tusi hata moja angalau kwa yale tuliyoyazoea toka utotoni.