soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Walimwengu tuna tabu sana, akisaidiwa nongwa, asiposaidiwa nongwa.
Tuishi kwa hekima na walimwengu. Ingekuwa bonge la nyumba na msiba wenye vitu vya kitajiri msingekawia kusema kodi zetu.
Tuheshimu maisha binafsi ya watu wengine, kwa ufupi hayatuhusu.
Poleni wafiwa, pole Mh. mwenyekiti wangu wa chama chetu
Tuishi kwa hekima na walimwengu. Ingekuwa bonge la nyumba na msiba wenye vitu vya kitajiri msingekawia kusema kodi zetu.
Tuheshimu maisha binafsi ya watu wengine, kwa ufupi hayatuhusu.
Poleni wafiwa, pole Mh. mwenyekiti wangu wa chama chetu