TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

jeneza likiwekwa kwenye meza nzuri.likapambwa maua ya dhahabu na kuwekwa msalaba wa almasi nk ndio inakuwaje marehemu ndio anafufuka au? mbona hujauliza kuwa msalaba huuoni?

mtu akifariki kafariki tu kinachofuata mazishi zingine mbwembwe tu hizo pesa za mbwembwe heri wawe wanakabidhiwa wafiwa waliobaki sababu watu wakishazika huwaoni tena nyumbani kwa wafiwa tena tangazo hutolewa makaburini palepale kuwa hapa tushamaliza kuzika tunashukuru umati mliohudhuria na mamilioni ya michango mliyotoa tumemaliza kuzika salama kila mtu aende kwake tutakuwa na tanga ndugu ambalo ndugu tu wa karibu watahusika nalo hapo ndio imetoka hiyohuji waona nyumbani msibani milele Kama mamilioni uliyochangwia uliyatumia kwenye mbwembwe utakula jeuri yako baada ya msiba
Kumbe hata hilo jeneza ni mbwembwe tu! Wangeilaza maiti kwenye kitanda cha kamba.
 
Pole sana mheshimiwa Raisi, kifo ni kitu ch ajabu sana, najua umeumia, mume wake kaumia na watanzania tumeumia kwa ujumla, Tunakuombea moyo wa uvumilivu kipindi hiki kigumu kwako na wanafamilia yako, POLE SANA BABA YETU JOHN MAFUGULI, tunakupenda sana!
Acha kutuunganisha kwenye ujinga wako.

Mapigo yaendelee tunakuomba ee Baba.
Iwe kama nyakati za Farao.
 
TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa

> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita

======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.

View attachment 1452969


Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.

View attachment 1452971
View attachment 1452976
Hii habari sijaiona kwenye gazeti lolote leo Jumatatu. Nafikiri ni habari ya uongo kutoka ulimwengu wa Twitter.
 
Du
TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa

> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita

======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.

View attachment 1452969


Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.

View attachment 1452971
View attachment 1452976
Duu! Pole nyingi kwa Mheshimiwa pamoja na ndugu na jamaa wote wa familia ya marehemu! Mola wetu aipumzishe roho ya marehemu kwa AMANI!
 
Sasa Mzee si ungetuambia tu umekwenda kumuuguza dada yako, sisi tungekuelewa tu jamani watanzania tuna roho ya upendo mno. Pole sana Rais wetu, Pumzika kwa amani shangazi yetu (RIP)
 
Acheni kuleta TAHARUKI, watu wa jamhuri ya Chato hawafagi.
Pigeni kazi mlipe kodi.
 
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Hata Mimi ni ndugu yako bwana, afrika ni moja.
 
TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa

Na hii kujigusa usoni kama wanapiga saluti ni kitu ya Kikatoliki au kimila?

1589789643750.png
 
Hapo ndio nyumbani kwa shemeji wa mzee!
R. I. P mama yetu
 
Back
Top Bottom