Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Angejenga ungesema anapendelea ndugu zake.Sadaka inaanzia nyumbani; unamwaga mipesa wakati kwa dada hata sakafu chini hakunaView attachment 1452932View attachment 1452933
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo umefanya niniHata mimi nimefiwa juzi,Sikumtangazia mtu yeyote!! R.I.P....
pole nani? 😒pole sana mkuu.
Mkuu P,
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Rais mwenyewe kasema mtoto wake wa kuzaa ameugua Coona kajifukiza, kala malimau na Tangawezi Sasa anapiga push-ups!!!
Hii maanake Coona ilishabisha hodi kwene familia na kawaida ya Koona inashambulia wazee zaidi kuliko Vijana....!!
Ndio nn Hiki...Apo umefanya nini
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Asipoenda ofisini na wewe utafanya nini?Siku magu akivaa mask namii naanza kuvaa
Comrade mimi nakua juha kwasababu namshauri rais avae barakoa kwenye mikusanyiko?Juha umefika
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
uoga huo wa mlamba miguu na mtaka teuzi asioonyesha kua anamsema, sasa unadhani akipitia hapa hawezi kuona kua unamsema?Kuna makosa ya typo na kuna deliberate typo.
Ile ni deliberate typo ili kumtenganisha rais na laisi.
P
Kama kuna Mdigo humu aseme kidigo kuwa Magufuli kafiwa
Nakubaliana na wewe kabisa ,naweka na msisitizo kabisa Msiba sio Jambo la kitaifa ambalo kila mtu lazima ajue.
Kwa hiyo huyu ni dada wa ukoo tu (extended family member)?The right to privacy ya rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe laisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Nakubaliana na wewe kabisa ,naweka na msisitizo kabisa Msiba sio Jambo la kitaifa ambalo kila mtu lazima ajue.