Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaiona wapi?Tusubiri kuona matokeo ya taarifa hii.
Ritaha nasa.
Hili nikumbushe tutalizungumzia sehemu nyingine."halafu mtu akifa wanataka kumpima , mtu aliyekufa mnampima wa nini ? " Mwisho wa kunukuu
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Nafikiri mkuu anajaribu kutumia lafudhi ya mh. Jiwe"tyres" au "tiles"??
Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.Bwana Pasko, picha zimetolewa na Ikulu. Does it mean una uelewa mkubwa kuhusu "right to privacy ya Rais Magufuli" kuliko wasaidizi wake like Msigwa?
Kuna Haki gani hapa ya Rais haijaheshimiwa,au Mimi bado nipo usingizini!?The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Msigwa anacheza midundo insyoipigwa na inayogusa mtima....wa mkulu!hawezi kufanya kinyume ...hawezi!Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.
Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.
Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.
Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.
Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.
P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums
Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums
Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums
Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums
Naona hesabu za equillibrium zimefanya kazi hapo!Jeneza atakua amelinunua mwenyewe lakini kasabau kununua meza jeneza likae vizuri.
Ingekua zamani angeamuru sakafu iwekwe tyres haraka lakini kwa sababu ya corona mambo ndio hivo.
Huyu yaelekea malimao yalimkataa akashindwa kupiga push ups...Here we go again
Na mimi acha nimpe pole maana duh! Pole sana mheshimiwa Rais kwa kuondokewa na dada yako.pole rais
Msiba sio wa kubeza, halafu tyres ndio kitu gani? Tiles au Tyres?Jeneza atakua amelinunua mwenyewe lakini kasabau kununua meza jeneza likae vizuri.
Ingekua zamani angeamuru sakafu iwekwe tyres haraka lakini kwa sababu ya corona mambo ndio hivo.
Hahahahaha, mkuu yuko juu ya mawe anaota jua kama mjusi huku kapiga bonge la pozi..kuna wakati walisambaza video za raisi amepumzika juu ya mawe. je, lile lilikuwa tukio la kitaifa?
Huyu sasa ndiye P niliyemfahamu miongo kadhaa iliyopitaMkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.
Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.
Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.
Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.
Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.
P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums
Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums
Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums
Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums
Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums
Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe - JamiiForums