TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P


Yaani nimecheka kidogo nijinyee.....I'm just thinking nyumba uliyokuwa unaishi at that time ilikuwa na ukubwa gani na mkeo alikuwa anapika ugali wa kilo ngapi kwa siku, maana msukuma kama hali ugali anakuwa mgonjwa.
 
Bwana Pasko, picha zimetolewa na Ikulu. Does it mean una uelewa mkubwa kuhusu "right to privacy ya Rais Magufuli" kuliko wasaidizi wake like Msigwa?
Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.

Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.

Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.

Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.

Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.

P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums

Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums

Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums


Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe - JamiiForums
 
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Kuna Haki gani hapa ya Rais haijaheshimiwa,au Mimi bado nipo usingizini!?
 
Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.

Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.

Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.

Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.

Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.

P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums

Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums

Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums
Msigwa anacheza midundo insyoipigwa na inayogusa mtima....wa mkulu!hawezi kufanya kinyume ...hawezi!
 
Jeneza atakua amelinunua mwenyewe lakini kasabau kununua meza jeneza likae vizuri.

Ingekua zamani angeamuru sakafu iwekwe tyres haraka lakini kwa sababu ya corona mambo ndio hivo.
Naona hesabu za equillibrium zimefanya kazi hapo!
 
Mtu analeta mbwembwe kumbe Corona inachakata familia kama haina akili nzuri. Yani inachakata kama kichaa halafu aliyelogwa! Ushawahi kuona kichaa halafu anaongezewa na uchawi juu? Basi ndo jinsi Corona inavyochakata ile familia. Bora hata sisi wengine.

Na huyu mzee hata ikitokea bahati mbaya mke wake afe kwa Corona bado hataelewa! Ndivyo alivyo! Wewe chukua tahadhari usimfuate mtu eti anakupongeza kwa kutokuvaa barakoa halafu unamshangilia!
 
Jeneza atakua amelinunua mwenyewe lakini kasabau kununua meza jeneza likae vizuri.

Ingekua zamani angeamuru sakafu iwekwe tyres haraka lakini kwa sababu ya corona mambo ndio hivo.
Msiba sio wa kubeza, halafu tyres ndio kitu gani? Tiles au Tyres?
 
Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.

Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.

Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.

Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.

Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.

P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums

Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums

Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums


Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe - JamiiForums
Huyu sasa ndiye P niliyemfahamu miongo kadhaa iliyopita
 
Back
Top Bottom