The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Aibu naona Mimi. Ila ndio style ya Uchwara wote Duniani kutafuta sifa kwa macho ya Walimwengu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana, It appears ni ghafla au siyoWhy kimya kimya if its true.?
Na kuonyesha huu msiba ni kipindi hiki, salama za kuaga zinatolewa bila jeneza kufunguliwa.
Wangeweka wazi wananchi tumpe pole na rambirambi.
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976
Coona imepiga Ikulu!
Ila Rais Magufuli ana roho ngumu au katili sana in other words! Yaani mtu unafiwa na Dadako unakausha...!!Badala ya kutoa rambirambi kwenye msiba wa Dada kapeleka milioni 11 Kanisani mchango wa ujenzi wa Kanisa na kwaya....!!!
Dada alikuwa ameolewa huyo unataka akamwage pesa kwa shemeji 😂😂😂😂. Mimi sio shabiki wa jiwe lakini kwa hili nembu acha ubwege sio kila jambo ni kukosoa tu.Sadaka inaanzia nyumbani; unamwaga mipesa wakati kwa dada hata sakafu chini hakunaView attachment 1452932View attachment 1452933
Sent using Jamii Forums mobile app
inawezekana ni sehemu ambayo wameona waitumie kuagia tu ili wakimaliza tukio ifanyiwe isolation.Hapo ndio kwa dada yake?
RIP Mama GaidensiaWhy kimya kimya if its true.?
Na kuonyesha huu msiba ni kipindi hiki, salama za kuaga zinatolewa bila jeneza kufunguliwa.
Wangeweka wazi wananchi tumpe pole na rambirambi.
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976
Wanaweza kupewa taarifa kwa njia ya simu au njia nyingine yoyote lakini si lazima kila mtu ajueMkuu kumbuka huyu ni Rais, so kila kitu lazima tujue, je watu maarufu kama akina Kikwete, Mkapa na wengine akina sisi tutahudhuriaje ikiwa tutafichwa.?
Sijaelewa lengo la uzi.Ni taarifa au ombi la kushirikisha msiba? Apambane kivyake kwani wengi wanakufa kila uchao!TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa
> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976
"halafu mtu akifa wanataka kumpima , mtu aliyekufa mnampima wa nini ? " Mwisho wa kunukuu
Hizi mila ndo zilisababisha watoto wa kike waonekane hawana maana. Yaani mtu akiwaza mali zake alizochuma kwa shida ampe mtoto wa kike ili abebe jina la mumewe?Huku Africa mwanamke akishaolewa huwa anahama ukoo. Hubadili jina la baba na babu, pia kama ni imani tofauti hubadili pia.
Ila sio wote
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Michelle ObamaHizi mila ndo zilisababisha watoto wa kike waonekane hawana maana. Yaani mtu akiwaza mali zake alizochuma kwa shida ampe mtoto wa kike ili abebe jina la mumewe?
RIP dada wa Kiongozi wetu.
Mji uliopo mlimani hauwezi sitirika.