TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

Pascal! Here you go again, right to privacy! Caution: Should not be extended to Mbowe! Undumila kuwili wa Tanzanian culture.
 
Briefly,clearly utafitinisha mtu hapa.
 
Pole yake mheshimiwa Rais
 
Pole sana baba. Mungu amlaze dada mahali pema peponi. Amina.
 
Michelle Obama
Hilary Clinton
Melanie Trump
Nawaza kwa sauti tu, watakuwa waafrika na mila zao za kijinga.
Wenzetu si lazima jina la mwanaume ndo libebwe, hata wanaume wanachukua majina upande wa watoto wa kike kutegemeana na nguvu na mali.

Unaenda kuoa familia ya kitajiri mtoto wao wa kike wa pekee wana makampuni yana brand za maana useme unambadili jina la mwisho? Kajaribu kuoa familia ya Kardashian umbadili awe kimario.

Usifananishe mtu jamii ya Juma onesmo mitimingi mwenye maduka yake ya Jumla na nyumba za kupangisha huku kambi ya fisi na Obama. Kuna brand zina nguvu hata ukienda kuoa unaweza jikuta unabadili jina wewe kama ni choka mbaya au huna msimamo.
 
Mojawapo ya gharama za Public Office ni kuondolewa privacy
 
Upo sahihi. Badili jina kwa sababu za msingi. Sio tu sababu ni utamaduni ukitoka familia ya Mengi ukaolewa na Kasim ndorobo basi ubadili Mengi liwe ndorobo. Ni mfano tu.
Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingine
 
Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingine
Hakutumia akili. Jina ni biashara, unapoamua kubadili kaa chini tafakari unaenda kupata nn kwa kuliacha jina lako.

Ukiona ngumu, tafuta mshauri anayefahamu hayo mambo mzungumze ili ukifanya maamuzi usipoteze.

Wengine wanabadili majina wanajua wakiachana kuna fidia za kubadili jina halafu mkaachana. Na mkataba unaonyesha.

Habadili tu sababu huyu ni mwanaume mwenye uume unaofanya kazi.
 
Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingine
Hakutumia akili. Jina ni biashara, unapoamua kubadili kaa chini tafakari unaenda kupata nn kwa kuliacha jina lako.

Ukiona ngumu, tafuta mshauri anayefahamu hayo mambo mzungumze ili ukifanya maamuzi usipoteze.

Wengine wanabadili majina wanajua wakiachana kuna fidia za kubadili jina halafu mkaachana. Na mkataba unaonyesha.

Habadili tu sababu huyu ni mwanaume mwenye uume unaofanya kazi.
 
Hongera kwa kupenda kusoma vitabu mkuu @feyzal,lakini pole kwa kusoma vitabu vya huyo "mwandishi".
Nilivyoona hilo jina la Buzirayombo nikakumbuka kitabu fulani cha Eric Shigongo yaani alimuelezea Rais wa nchi ya Buzirayombo ( nikidhani jina la kutunga kumbe kweli) na kwa namna fulani yanafanana na wasasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pokeni sana wafiwa,Mungu awape faraja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…