Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Pascal! Here you go again, right to privacy! Caution: Should not be extended to Mbowe! Undumila kuwili wa Tanzanian culture.The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Kwa mujibu wa intelligensia, John Pombe Magufuli alihamia Chato kutokea Burundi akiwa tayari amezaliwa... kwa hiyo yeye na huyo marehemu ni watoto wa Mama mmoja lkn Baba tofauti, bye👋Mkùu samahani mbona hili jina haliendani na jina la mkuu ?? Au sio dada wakuzaliwa?
komesha korona
Briefly,clearly utafitinisha mtu hapa.Mkuu Chahali, Msigwa ni mdogo wangu, for more than 10 years kwenye fani, hivyo mimi ni Kaka mkubwa kwake.
Hata hivyo kutangulia sio kufika, mtu anaweza kuwa ni mdogo kwako, umemtangulia, halafu akafanya mambo makubwa kuliko wewe ulitangulia, ndio kama kina Diamond na Msondo ngoma, hivyo Msigwa anafanya kazi nzuri.
Ila kuna vitu vya rais ambayo ni family related, vinaweza kuwa public na kuna vitu should be private kama zile picha za kulala kwenye majabali, ama Sunday worships, siku hizi rais akienda Kanisani its news!.
Pia kuna vitu vingi rais anafanya na anasema, they should be kwenye public, na kuna vitu rais alipaswa kuonekana kama tetemeko la Bukoba, mazishi ya askari jeshi wetu 14 wamekufa on the line of duty, CinC hayupo, alafu anaonekana anazindua tawi la bank?!.
Au kuna vitu vingi rais anatamka, he shouldn't kama kuwa expose jamaa zako in public etc, kwa sababu the guy is too young, hata akiona the boss ana kosea, hawezi kumrekehisha ndio maana he keeps repeating the same mistakes under the pretext, the boss is always right na mkubwa hakosei, hivyo sisi wakongwe wazoefu tumesaidia sana kushauri kupitia jf, kisha ukifanya follow up, una ona mabadiliko chanya, changing for the better na tunapongeza.
P.
Rejea
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums
Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums
Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums
Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana! - JamiiForums
Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums
Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe - JamiiForums
Duh!
hilo ni sanduku tu la kubebea mwiliKumbe hata hilo jeneza ni mbwembwe tu! Wangeilaza maiti kwenye kitanda cha kamba.
Pole yake mheshimiwa RaisTANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa
> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976
Pole sana baba. Mungu amlaze dada mahali pema peponi. Amina.TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa
> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976
Mkuu pia jiwe hilo sio jina lake......Mkùu samahani mbona hili jina haliendani na jina la mkuu ?? Au sio dada wakuzaliwa?
komesha korona
Wenzetu si lazima jina la mwanaume ndo libebwe, hata wanaume wanachukua majina upande wa watoto wa kike kutegemeana na nguvu na mali.Michelle Obama
Hilary Clinton
Melanie Trump
Nawaza kwa sauti tu, watakuwa waafrika na mila zao za kijinga.
Mojawapo ya gharama za Public Office ni kuondolewa privacyThe right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Upo sahihi. Badili jina kwa sababu za msingi. Sio tu sababu ni utamaduni ukitoka familia ya Mengi ukaolewa na Kasim ndorobo basi ubadili Mengi liwe ndorobo. Ni mfano tu.Sijahama bado ukoo wangu aisee
Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingineUpo sahihi. Badili jina kwa sababu za msingi. Sio tu sababu ni utamaduni ukitoka familia ya Mengi ukaolewa na Kasim ndorobo basi ubadili Mengi liwe ndorobo. Ni mfano tu.
Hakutumia akili. Jina ni biashara, unapoamua kubadili kaa chini tafakari unaenda kupata nn kwa kuliacha jina lako.Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingine
Hakutumia akili. Jina ni biashara, unapoamua kubadili kaa chini tafakari unaenda kupata nn kwa kuliacha jina lako.Nadhani ni kaulimbukeni au hofu..au sijui ni nini!mdada mmoja alibadili hayo majina akaanza kujiita surname ya mume wameachana .anataka kufungua ishu fulani bas majina hayamatch na ya cheti chake! Khaa...kazi kama kazi zingine
Nilivyoona hilo jina la Buzirayombo nikakumbuka kitabu fulani cha Eric Shigongo yaani alimuelezea Rais wa nchi ya Buzirayombo ( nikidhani jina la kutunga kumbe kweli) na kwa namna fulani yanafanana na wasasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pokeni sana wafiwa,Mungu awape farajaTANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa
> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.
View attachment 1452969
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
View attachment 1452971
View attachment 1452976