Metaphor?? HowMetaphor
Wewe corona itakufata ulipo hata ujilock uvunguni,Shenzy
Kama umesoma mpaka mwisho, mtoa mada anasema tufuate ushauri wa wataalamu wa afya, moja ushauri wao wanasema tujiepushe na misongamano, huoni mtoa mada anajipinga? Anasifia kitu ambacho mwenyewe hakielewi..Someni andiko lote la mleta mada kisha tafakari nia ya mleta maada. Hapo utagundua kwamba mleta mada anatoa ujumbe tofauti. Lakini ukisoma tu kichwa cha habari hautoelewa nia ya muandishi
Kwan ni wewe mwenyewe au ndugu yako uneataka akasain bumu mara ya tatu?
Kama vyuo na shule vilifungwa wakati hata wagonjwa 15 hawajafika, itakuwa ni upuuzi wa PhD kama vitafunguliwa now kwenye wagonjwa almost 32 na kuendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Not the case lakin pia inaweza kuwa kweli somehowPengine wanataka tupungue kidogo
Ni strategy sio dawaWatakaokufa WAMEKUFA..
Wapo watakao baki.
Kwani lock down ndo dawa ya corona?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Watanzania tuna hasara
Unataka raisi akwambie kila kitu??Huyu ni wa kumpuuza tu hana hata chembe ya sympathy !what a disgrace kind of a president!
Mbona kama yuko peke yake? Usalama wa viongozi wa kitaifa ni usalama wa taifa, ndio maana makamu wa rais na rais kipindi hiki lazima wana usalama wahakikishe wako salama kiafya ili taifa liwe salama, hawaonekani mara kwa mara wakiwa wamejichanganya katika jamii
Jaribu uone chamtemakuni...anayasema haya huku yeye akiendelea kula bata kijijini kwake kwa kodi zetu.
basi sawa tu.... zamu ya wananchi kushika hatamu haiko mbali.