CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

Kwa hili hata mimi namuunga mkono, kufunga mipaka sasa hivi kutaiweka Tanzania pabaya kuliko ilipo hivi sasa.
 
Salaam

Iv tunavolalamika mipaka aifungwi mara cjui rais ajasema lockdown...kwan sisi wenyewe atuwezi kujua kipi kizuri kipi kibaya.. kama cha msingi ni lockdown tukiamua watu wote ni lock down na tukakaa ndani kwani serikali itatulazimisha tutoke njee....au ndo mpaka kila kitu tupewe amri.

ila yote na yote hakunaga kaburi la mtu muoga.....pia ikifika siku yako ya kufa lazima utakufa tu.....salaaam
 
digba sowey,
Ajue kuwa watu wanakufa! Hizo nchi anazosema kuwa zinaitegemea Tanzania ajue baadhi wameshafunga mipaka ingawa kwao hakuna maafa kama kwetu!

Mwambieni aelewe kuwa vilevile kauli za kuudhi kama hizi siyo lazima azitoe hadharani. Huyu mtu sijui ubinadamu aliuachaga wapi!
 
Ajue kuwa watu wanakufa! Hizo nchi anazosema kuwa zinaitegemea Tanzania ajue baadhi wameshafunga mipaka ingawa kwao hakuna maafa kama kwetu! Mwambieni aelewe kuwa vilevile kauli za kuudhi kama hizi siyo lazima azitoe hadharani. Huyu mtu sijui ubinadamu aliuachaga wapi!
Jamaaa anakera natamani corona imfuate huko huko alipo imchukue imtafune hvi ni mwanadamu kweli huyu au jinamizi tumeletewa
 
Apana mkuu me naona bora ata korona inatoa mda wa kula ela zako na kuandika urith ila watu wanaogopa tu vitu vvya ajab
 
Back
Top Bottom