Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Mpaka na wewe utakapokufa kama mizoga na watu wako ndo utajua huu n uzushi au uharo wa kushabikia ukabila ukanda na uchama usio na tijaUzushi wa Chadomo huu
Wewe nawe you are out of topic au ushakunywa machicha ya Mbege yakakupalia Bwashee [emoji1787][emoji23] umesoma mada ukaielewa unaambiwa chattle iko under lock down na kuna Ventilator zimepelekwa wewe unaongelea mambo ya vipimo Kwan nan asiyejua karibu mikoa yote kuna maeneo maalum ya kupimia na quarantine kwa ajili ya wagonjwa.Nipo mkoa wa Kilimanjaro now ni hivyo hivyo ukifika lazma upimwe kama mkoa uliopo hawafanyi hivyo jua kuna watendaji wamelala, mkuu wa mkoa
Kwan huo ubaguzi anayeuleta n nan kama cyo Meko?Mkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine!
Injii hii tabu sana!Jamhuri ya watu wa chato.....This is stupidity ,,,,,wanalindwa watu wasiona faida yoyote kwa taifa??????
Sio kweli labda kama wana mpango, hakuna lockdown hapaWewe nawe you are out of topic au ushakunywa machicha ya Mbege yakakupalia Bwashee [emoji1787][emoji23] umesoma mada ukaielewa unaambiwa chattle iko under lock down na kuna Ventilator zimepelekwa wewe unaongelea mambo ya vipimo Kwan nan asiyejua karibu mikoa yote kuna maeneo maalum ya kupimia na quarantine kwa ajili ya wagonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamhuri ya watu wa chato.....This is stupidity ,,,,,wanalindwa watu wasiona faida yoyote kwa taifa??????
Sio kweli labda kama wana mpango, hakuna lockdown hapa
Upo chato mkuuInjii hii tabu sana!
Hakuna kipimo cha corona chato bali joto tu kama zilivyo wilaya zingine.
Hujanielewa mkuu ww kaa tu kimya na endelea kuchapa kazi km magufuliMkuu hiyo sio sawa, naomba nipingane na wewe. Raia yeyote wa hili taifa ana umuhimu na heshima yake, hauwezi kusema kuna watu hawana faida kwa taifa.
Kama kyna makosa yanafanyika kutoa huduma, walaumiwe walioko madarakani kwa kushindwa kufanya hivyo kwa watu wote.
Wananchi wa Chato wanakosa gani?
Kaka watu wanavibishwa bichwa na faza house ndo maana wanapata kiburi cha kupuyangaLakini kwanini mtu ujijue unaumwa Kisha bado unasafiri?,,huo ugonjwa unataka ukiupata utulie na kuanza kufakamia misosi ya kuongeza vitamin C,,unywe maji yakutosha etc, ama la ugonjwa unatoka stage moja kwenda ingine kabla mwili haujaweza kupigana nao na kuushinda
Jamhuri ya watu wa chato.....This is stupidity ,,,,,wanalindwa watu wasiona faida yoyote kwa taifa??????
Pilato yupo uko ana wachora tuView attachment 1431992
Hujanielewa mkuu ww kaa tu kimya na endelea kuchapa kazi km magufuli
@moderatorMkuu kwanza unapotosha umma!
Nimekuwa nafanya safar kupitia Chato sijaona kitu kama hicho.
Acha ubinafsi watanzania tumefikia pabaya sana hasa kwa kuanza kubaguana kimkoa,kidini,kikanda,kielimu na kisiasa!
Hili jambo halipo wana Jf. Niupotoshaji kama zilivyo taarifa zingine!
Yale yale yapi mkuu? UPO JAMHURI YA CHATO?Mkuu ebu taja faida ulizonazo wewe kwa taifa? Isijekuwa unawadharau watu wa chato kumbe na we ni yale yale tu!
Hapana kaka.....Ikija kwenye usalama wangu hata sisikilizi nani anaongea nini mguu, ni jukumu langu binafsi kuhakikisha nipo salama. Nachapa kazi nikiwa nyumbani nnachohitaji ni simu na laptop yenye internet tu. Huku nikiwa quarantine.
Kama sikukuelewa niwie radhi, ila nilifikiri unawalaumu raia wa Chato.