DENLSON
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 949
- 1,260
Kuna ubaya kwasababu hiyo hela italipwa na Tanganyika sio Zanzibar sababu hawana bajeti ya kulipa mikopo.Sasa kama wizara inapewa fedha nyingi kuliko mkoa kuna ubaya gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ubaya kwasababu hiyo hela italipwa na Tanganyika sio Zanzibar sababu hawana bajeti ya kulipa mikopo.Sasa kama wizara inapewa fedha nyingi kuliko mkoa kuna ubaya gani?
Hakuna kitu kinaitwa Tanganyika.Kuna ubaya kwasababu hiyo hela italipwa na Tanganyika sio Zanzibar sababu hawana bajeti ya kulipa mikopo.
Huduma za serikali gani zinazoangalia ukubwa wa eneo na population?Zanzibar sio nchi , na huduma za kiserikali zinaangalia hasa ukubwa wa eneo plus population iliyopo
Tangu lini wana ccm wakijitambua na kudai haki yao?Nchi ina mikoa 31 fedha ya mkopo ni 1.3 trillion. Mgawanyo sahii ilikuwa kila mkoa upate 40+ billion. Zanzibar wamechukua fedha za mikoa 5 ikiwa idadi yao ya watu na eneo haizidi hata wilaya ya Ikungi.
Hao wanaoshukuru ni kuwa hawajui hesabu.
Lukuvi alikuwa sahihi sana ila sema kwa tabia za wana ccm leo hio wanamuona kuwa alikosea kusema ukweli.Kama ni hivyo Tabora ilitakiwa ipewe nyingi zaidi, kwanini iwe Chato na si Sumbawanga, Kigoma, Shinyanga ama Mtwara ?
Tuache unafiki pakijengwa popote pajengwe tu ni Tanzania
Kama inakuwa tabu sana basi tuwaachie waZanzibari Nchi yao kwanini tunawang'ang'ania au ndio yale maneno ya mh Mnyaluko ?
Akili zako umezikaliaEndelea kumwabudu Mbowe huyo gaidi yako makengeza yuko sero akilala na mavi matakoni maana najua hatawazi! Mjinga wewe!
Unabishana na mbunge wa eneo husika?Bilioni 3.24 hazitoshi kujenga shule mpya 13 , madarasa 188 na vyoo vya kutosha. Stop that nonsense
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu nakushauri wacha kupoteza nguvu zako kwa kujibu utumbo wa huyu mtu.Zanzibar ni mkoa uliopewa hadhi ya kuwa wizara inayojitegemea ndio maana Rais wake akija kwenye baraza la mawaziri anakuwa mjumbe wa kawaida hana tofauti na Waziri wa mazingira ndani ya vikao vya baraza la mawaziri.
Unaamini hiyo habari? Basi kwa mantiki hiyo Samia anakubalika na wachaga kuliko Mbowe.Sukuma gang mwisho wenu umefika
Wewe na huyo mbunge wote "vilaza"Unabishana na mbunge wa eneo husika?
Wasalimie mahakamani!Wewe na huyo mbunge wote "vilaza"
HakikaWewe na huyo mbunge wote "vilaza"
Wakazi wa wilaya ya Chato wamemshukuru sana Rais Samia kwa kuwapatia jumla ya tsh 3.24 bilioni walizotumia kujenga Shule mpya 13 za sekondari, Madarasa 188 na Matundu ya Choo ya kutosha.
Mbunge wa jimbo la Chato mh Kalemani amesema hiyo haijawahi kutokea tangu kuasisiwa kwa Wilaya hiyo na kwamba Wanamuunga mkono Rais Samia kwa 100%
Source: Star TV habari
Serikali ya Kimbiji , ukiwa chizi mi chiz zaid yko [emoji52] eti huijui serikali gan tunazungumzia hapaHuduma za serikali gani zinazoangalia ukubwa wa eneo na population?
Magufuli mshamba tu na mpumbavu kama wewe, Ndege anazitoa wapi, kama ni zake wape wanawe wachezee. Bashite umenyimwa akili umejaaliwa makalio.
Hii lugha ya kumshukuru
Samia badala ya serikali inaukakasi sana!
Fedha ametoa samia au serikali?