Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

CAG PROF ASSAD ALISHASEMA 60% YA VIONGOZI WA UMMA HAWANA UWEZO WALA SIFA ZA KUONGOZA MKAMPUUZA. HALI NI HIYOHIYO HATA BUNGE LETU. POOR TANZANIA!
 
Chato ni bab kubwa, yaani unaambiwa hospitali ya Chato Ina hadhi ya juu kuliko Bugando.
Kiwanja Cha mpira kwa mchina Cha mtoto.
Pale Kuna magorofa mengi tu yakiongozwa na MFUGALE TOWER.
Mabenki ndio usiseme
Kwa pembeni Kuna Chato international eapot.
Mitaani magari yanaongozwa na mataa.
Kuna siku nikisikia eti watu wa Chato hawaendi chooni maana sisi wa Dar ndio tunagusana na mavi
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Ndumbaro kama Ndumbaro yaani !
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

waziri wako kichwa mviringo
 
Kumbe uwe..hu wake hajaanza leo?!
Huyu Ndumbaro ndiyo alihamisha wanyama kutoka mbunga zingine kuwaleta Chato- Burigi. Nasikia sasa hivi hakuna wanyama tena kwenye hilo pori.

Halafu akasema Chato ni Kitovu cha Utalii. Mpuuzi sana huyu Mngoni
 
Dr Ndumbaro, tangazo la kufanya Chato kituo cha utalii liendane na kujenga ofisi kubwa hapo ya Kanda ya ziwa ya TTB/TANAPA kutangaza utalii. Hapo utakuwa umeweka uendelevu wa kivutio hicho. Hili ni muhimu mno.
Kumbe upumbavu ulianza zamani ee?
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Ndumbalo naye anapuyanga sana
 
Viongozi wetu wengi ponayao madarakani kikubwa ni kujipendekeza kwa rais! Utendaji ni percent ndoogo! Yoote nikutokana na katiba inayomfanya rais kuwa MTAWALA nasio kiongozi.
 
Back
Top Bottom