Chato haiwezi kukua,bora yeye angejikita kuwajengea shule na kuwatafutia kazi za upendeleo zile nono kama huko TRA na bandarini,ila hayo madude ya majengo atafurahi mwenyewe akitoka madarakani yatakavyochakaa,hawaamini,jamaa huyu akili zake
Kumbe wanyantuzu wapo tofauti na magu? Sikujua hili!Wasukuma wa Bariadi uwezi linganisha na wasumbwa,wasubi na wasukuma wa Chato,Bariadi ndo inawasukuma wajanja na weupe😂😂,nafikiri nikisema wasukuma weupe unajua namaanisha wana ng'ombe wengi,pili ndo wanaomiliki biashara ya madini kanda ya Ziwa yote,huwezi linganisha msukuma (Mnyantuzu) wa Bariadi na ujinga huo wa Chatto,Chatto hata mfanye nchi kabisa haina human capital ya kupaendeleza,angejikita kuwasomesha wanachato zaidi ya anavyofanya hivi sasa,sijui nani anamshauri huu ujinga,nakumbuka alikuwa ana ndoto ya kupafanya mkoa siku nyingi,isingekuwa Kikwete Geita isingekuwa makao makuu ya mkoa
Hata akifanya mkoa,kwanza atakuwa ni mpuuzi,na pili Chato hapataweza kuendelea,angesomesha watu na kuwawezesha kiuchumi kwanza,pale watu wana umaskini wa kutisha,na nimiongoni mwa maeneo yanayosababisha watu wa kaskazini watucheke sisi watu wa kanda ya Ziwa,upuuzi mkubwa kabisa,
Duuh haya umeandika wewe au ni typing error?nyerere huyu aliyeua viwanda na viwanda maeneo mbalimbali ya taifa hili?
Wewe kijana una kiwango gani cha elimu?Aliowanyanganya kwa kisingizio cha uhujumu uchumi ndio hao hao wameshikilia uchumi, hivyo inaonyesha dhahiri shahiri zilikuwa mali halali na wanajua jinsi ya kutafuta.
kuna kijiji huko chato kinaitwa kibehe kuna mtu kafika jana kulikuwa na gulio anasema kati ya wanawake kumi aliokutana nao 7 ni wajawazito hatutashangaa siku tukisikia ameitisha referendum kutaka chato kujitenga iwe nchiWatujengee haraka sana maana bugando imeelemewa mno
siyo kwelikijografia chato ipo katikati ya mikoa ya kanda ya ziwa kwa hiyo acha ipendelewe
Usicheke. Mi najiuliza, hivi ikitokea Bahari ya Hindi nayo ikahamishiwa huko, Bakhresa atakubali boti zake ziende huko au zitabaki Dar zitumike kama malori?
kuna kijiji huko chato kinaitwa kibehe kuna mtu kafika jana kulikuwa na gulio anasema kati ya wanawake kumi aliokutana nao 7 ni wajawazito hatutashangaa siku tukisikia ameitisha referendum kutaka chato kujitenga iwe nchi
University of Würzburg (Faculty of Arts; Historical, Philological, Cultural and Geographical Studies) DROP DOWNDuuh haya umeandika wewe au ni typing error?
Wewe kijana una kiwango gani cha elimu?
Tuanzie hapo kwanza! Utanisamehe kwa kauli hii.
Maana sioni tofauti ya nationalization ya Nyerere na sheria mpya inayo husu rasilimali za nchi kama gesi na madini ya Magufuli kwa ushauri wa akina Prof. Kabudi. Ambayo mimi naiunga mkono japo italeta misuguano sana na hao ulio wasema wameshikilia uchumi.
Mfano hai wa msuguano ni kusudio la kampuni ya madini ya Canada inayofanya shughuli zake nchini kuishitaki serikali ya JMTZ.
Inaweza kuwa nabishana na mtu ambae sikustahili kufanya nae mjadala kama huu!!
Yani ww jamaa akili zako ni hovyo sana! Kwa hiyo katika watu wote humu wewe ndio unayejua umuhimu wa hiyo hospitali kwenda chato kuliko wengine wote.Mada inaeleza ni Hospitali ya Kanda ya Ziwa na siyo Kanda ya Geita.
Hivyo basi kama ni Kanda ya Ziwa, Chato inakuwa baina ya Wilaya za Kigoma na Kagera pia hizo za Geita.
Huku Mwanza hizo hospitali mbili zinakuwa zimeshika Mara, Shinyanga na Simuyu.
Mbona hii haitaji Masters ya Mipango miji.
Nationalization ya wakati wa Nyerere ilikuwa zaidi ya nyumba za watu binafsi.University of Würzburg (Faculty of Arts; Historical, Philological, Cultural and Geographical Studies) DROP DOWN
Kampala University (Faculty of Computer Science and Mixed Art's) DROP DOWN
Usijitoe ufahamu! Majengo ya NHC kwa asilimia 75% Walinyanganywa wafanyabiashara wa Tanzania siyo hao watu kuja.
Mashamba na viwanja viliwekwa chini ya CCM.
Usijitoe ufahamu twende hoja kwa hoja.
Akili za hovyo sana! Upimwa kwa nini?Yani ww jamaa akili zako ni hovyo sana! Kwa hiyo katika watu wote humu wewe ndio unayejua umuhimu wa hiyo hospitali kwenda chato kuliko wengine wote.
Acha kutafuta sababu za kipumbavu ku justfy ujinga,ni bora ukae kimya watu wasijue ujinga wako.
Nipo hapa kujifunza na kuelimishana! Kama hutojali nipatie jawabu, Asante.Nationalization ya wakati wa Nyerere ilikuwa zaidi ya nyumba za watu binafsi.
Mkuu fuatilia tu kisha uje tujadili, mimi nipo nakusubiria mkuu.
Nyerere alijenga Airport ya Musoma kwa ajili ya kufacilitate watalii kwenye mbuga ya serengeti,au hujui kuwa 3/4 ya mbuga ya serengeti ipo Mkoa wa mara na ni rahisi kwenda Serengeti kupitia Musoma.Watanzania tutulie kila jambo na wakatib wake.
JKN alijenga airport Musoma. Sasa hivi hamna ndege inaenda Musoma.
JK alijenga mloganzira, barabara ya bagamoyo; na maisha yalisonga.
Sumaye akiwa PM alilazimisha kujenga airport Arusha wakati KIA iko so close.
Mwandosya akiwa waziri wa Uchukuzi na mawasiliano enzi za Mkapa ali-miss alloate funds na kujenga airport ya Songwe. It took more that 8years tokea ujenzi kuisha ndege kuanza kutua.
Waziri Mramba wakati mmoja akasema hata tukila nyasi; sio tabu lazima kununua Presidential Private Jet.
Ukumbi wa Bunge ulijengwa right away wakati Mkapa anatoka JK anaingia. Thamani za ukumbi ule ulikuwa bora kuliko hata ukumbi wa Marekani au Uingereza.
Wanasiasa wetu ndo walivyo. Usilalamike..wewe shukuru Mungu maama hata ukilalamika huwa wanafanya yale ambayo wanadhani yanagusa malengo yao ya kisiasa.
Bila shaka kwa Population ya 15 Mil Lakezone na Bugando ina capacity ya viwanda chini ya 1200. Sio vibaya kujenga Chattle Zonal Referal Hospital. Then siku mzee anastaafu; Watanzania wanahukumu kati ya aliejenga another referral hospital to serve 15mil population vs wanunua ndege ili tule nyasi au walojenga Songwe na 8 years baadae ndo jet ya kwanza ikaanza operations.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili imechoka mkuu wangu, tutajadili wakati mwingine.Nipo hapa kujifunza na kuelimishana! Kama hutojali nipatie jawabu, Asante.