Watanzania tutulie kila jambo na wakatib wake.
JKN alijenga airport Musoma. Sasa hivi hamna ndege inaenda Musoma.
JK alijenga mloganzira, barabara ya bagamoyo; na maisha yalisonga.
Sumaye akiwa PM alilazimisha kujenga airport Arusha wakati KIA iko so close.
Mwandosya akiwa waziri wa Uchukuzi na mawasiliano enzi za Mkapa ali-miss alloate funds na kujenga airport ya Songwe. It took more that 8years tokea ujenzi kuisha ndege kuanza kutua.
Waziri Mramba wakati mmoja akasema hata tukila nyasi; sio tabu lazima kununua Presidential Private Jet.
Ukumbi wa Bunge ulijengwa right away wakati Mkapa anatoka JK anaingia. Thamani za ukumbi ule ulikuwa bora kuliko hata ukumbi wa Marekani au Uingereza.
Wanasiasa wetu ndo walivyo. Usilalamike..wewe shukuru Mungu maama hata ukilalamika huwa wanafanya yale ambayo wanadhani yanagusa malengo yao ya kisiasa.
Bila shaka kwa Population ya 15 Mil Lakezone na Bugando ina capacity ya viwanda chini ya 1200. Sio vibaya kujenga Chattle Zonal Referal Hospital. Then siku mzee anastaafu; Watanzania wanahukumu kati ya aliejenga another referral hospital to serve 15mil population vs wanunua ndege ili tule nyasi au walojenga Songwe na 8 years baadae ndo jet ya kwanza ikaanza operations.
Sent using
Jamii Forums mobile app