Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Kwani Chato si ni Tanzania? Au chato hiko Rwanda? Hiyo hospital itatibu watu gani zaidi yakutibu watanzania? Sasa hole wake mtu acheleweshe mradi huo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mobutu seseko mwingine huyo!Acha ijengwe tu kwani Chato iko Burundi?
Kwanini hiyo hospitali isingejengwa kigoma ili ihudumie mikoa ya Rukwa,Kagera na Kigoma yenyewe?Chato kwenda bugando ni karibu,watu wa kigoma mpaka waende Mwanza na usafiri ni majanga!Hakuna cha ubaba! Taifa umaskini chanzo ni yeye. Magufuli ndiyo ananyoosha hii sasa.
Pwani ipi? Au hujui viwanda takribani 73 vimejengwa enzi za Kikwete?! Mloganzila kwanini haikupelekwa Iringa?!
Tuwe wakweli zama za Umwinyi na Umangi kwisha habari yake. U-Daslam utapotea ili taifa lisonge.
Haiwezekani mtu Kigoma na Kagera yupo mahtuti mpaka afike Daslam kwa tiba! Haiwezekani, Daslam ni kipande kidogo sana kwa Tanzania.
Maendeleo endelevu ya Tanzania
we jamaa una mawazo ya kishetani kabisa, utalegea tu!Pembezoni ipi unayoisemea?! Daslam?, Zama hizo zimeisha.
Kwa takribani miaka 60 sasa wakazi wa Kigoma na Kagera wamekuwa wakifuata huduma za kijamii Daslam, Elimu ya juu, Hospitali, Usafiri wa Kimataifa na mengineyo. Haiwezekani hii lazima ifike ukomo kwa maendeleo ya taifa hili! U-Daslam lazima ufe.
Kwani Bugando iko wapi mkuu!! Au hapo hapo Mwanza zijengwe hosp 2 za rufaa!!Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita
Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo
My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?
Source Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanatapanyiwa chato tu, kwa nini yasitapanyiwe misenyi au ikungi?Wewe ndiye uliipatia Mwanza hicho kitovu?!, Kwanini isijengwe Musoma, Kahama, Shinyanga au Bukoba?!
Zama za Daslam na Coast zimefikia tamati, ilikusudi taifa liendelee lazima maendeleo yatapanywe.
Kitaalamu inaitwa bureaucratic competition!!Wamejitokeza kutumia fursa baada ya kumsoma Magu,wanaona mamiradi yanaelekezwa huko,kwanini wasitumie fursa?Kigoma,Kagera,Rukwa hakuna hospitali yenye hadhi ya rufaa!Wagonjwa Wote hukimbilia Bugando Mwanza,hii ni wazi JPM ameamua kuwa Mobutu Seseko!
Ndo maana safari hii membe twende naye, nyie mmekula imetosha, vyeo vyote vikubwa mmepeana wenyewe.... huko Kanda ya Kusini na Kanda ya Magharibi mko wangapi? Hamjazi hata kibaba ninyi! Hoja ya Waziri Ummy ni kwamba Kanda ya Ziwa wako wengi! Hata Prof. Kabudi aliwahi kulisemea hili nadhani kwenye Sherehe za Uhuru Mwanza (2019). Mtakapokuwa "wengi" mtajengewa! Ha ha ha.
Hata hivyo Serukamba hawezi pitishwa magu
Chato ipo katikati ya Wilaya takribani sita.
Ila hapo kwa Serukamba kucheka pamenifurahisha sana.
Hii nadhani inaweza kuligawa taifaHii si sawa, kanda ya ziwa hospitali za rufaa mbili, kanda ya kusini hakuna, kanda ya magharibi hakuna. mmhh ukabila/ ukanda unapanda chati, umoja mshikamano utaporomoka tusipojisahihisha
Mtu kucheka kuna sababu nyingi, mojawapo ni kufurahia jambo, au 'kejeli' pia?Lakini wajumbe nao walizingua, sasa kilichowachekesha ilikuwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app