Daftari la Watoro
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 381
- 825
wakizindua bahari km walivyo zindua mbuga za wanyama naja kuishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa wabunge hawajui kuwa hospitals zote za mikoa zine hadhi ya rufaa walichokuwa wanacheka mini kama siyo unafiki. Hospitals zote za mkoa ikiwemo Chato ndani ya Geita ni za rufaa. Fanyeni ufuatiliaji kuliko kuchekachekayah..... na mimi nimei bold hapa chini!
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Fasihi ya nini tens humu?Kasome vizuri fasihi utaelewa nilichoandika
....kwa hiyo Chato ndiyo makao makuu ya mkoa wa Geita siyo?Nashangaa wabunge hawajui kuwa hospitals zote za mikoa zine hadhi ya rufaa walichokuwa wanacheka mini kama siyo unafiki. Hospitals zote za mkoa ikiwemo Chato ndani ya Geita ni za rufaa. Fanyeni ufuatiliaji kuliko kuchekacheka
Wanacheka nini hawa wapumbavu badala ya kukemea huo ujinga? Kwa nini iwe Chato na siyo Geita? Kama tunatafuta katikati basi inapaswa ijengwe Mwanza jiji au Sengerema!Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Magufuli anajenga miundo mbinu ya serikali na si ya kwake binafsi.Hata akiondoka hospitali itahudumia watu,kiwanja cha ndege kitasaidia wengi.Hongera kwa hilo!!Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Wewe humtakii mema mwana chato.Samahani tunaomba picha ya hiyo hospital
Hahahahahhaha, hivyo vitu ni kambi ya jeshiWewe humtakii mema mwana chato.
Hivi ule uwanja wa kimataifa ulishaona picha yake? Mimi bado.
Huenda hivi vitu havionekani vikipigwa picha.
Maendeleo hayana ukanda wajenge tuWajenge tu huko chato mana huku kwetu kaskazin tulishamaliza kitambo labda waje kupaka rangi tu
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Kama Baba wa Taifa na marais wengine waliomfuatia wangalikuwa na tabia hizi za kichoyo, kukosa aibu na upendeleo wa wazi wa maendeleo ya vitu, huku waliowazunguka wakishindana kupeleka kwa kasi maendeleo ya vitu ktk maeneo waliyotoka, sijui taifa letu leo lingalikuwa ni la namna gani.Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Kubishana na wewe ni 'futile worth no effort' sababu hakutakuwa na muafaka.Hayo yote unayotanabaisha hapa mbona ameyapokea baada ya kuwafukuza British? tokea hapo mbona hamna yaliyoongezeka?!.
Hivi vitu vya ubaba na umama ni siasa tu! Nina documents za Germany East Africa (Deutschland) na British Territory ambazo hata Jamhuri haina na haitokuwa nazo.
Narudia nina documents za Germany na British zenye ukweli wa yote ambazo hata Jamhuri haina.
Ukitaka kupiga maendeleo Tanzania hii kwanza ukatae ubaba na hivyo ndivyo Magufuli alipofanikisha na watu wanastaajabu.
"Kama walikuwa wanafanya, mbona hayaonekani?!." - John Pombe Magufuli
Kumuenzi akiwa hai aunapendekeza hospitali iitwe Dr. John Pombe Magufuli National Hospital ili kumuenzi Rais wa awamu ya kishupavu ya 5
🤗🤗🤗