Kwa kweli ameshusha sana CV yake. Ni bora hata angeanzisha kituo chake cha redio kama alivyofanya Abdalla Majura. Hata kijana mdogo Millard Ayo anamzidi ubunifu.halafu utasikia kila siku kwamba hakuna kazi Tanzania, kumbe ni uvivu wa kufikiri tu, huyu bwana ningependa sana nimtolee mfano, bahati yake hajatoa contacts zake maana ningeanza naye ligi huko kwa pilato ninapopatia kipato changu cha kila siku... Hili jambo la kikeke kama ni la kweli , ni la ajabu sana. Kumaliza kipaji cha mtu hivi hivi si jambo jema kwa kweli... ni vema wangemwacha huko huko BBC kuliko kumrudubuni halafu anakuka kuishia vijeridio vya ajabu ajabu...
aah kumbe sio kosa lako ndugu yangu- ungalau umesoma kule kwa " Father dead Mother dead, now job". Nimekuelewa.. samahani, nilidhani ni wa level ya kuelewa maana ya QC au KC. nilikosea sana kusema maneno hayo. Jiongeze huko kwa wenye kiona mbali na usiishie hapo UDSM pekee...Nimesoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ila sijafikia level ya kutojua mambo kama akili yako. Sasa unaongea nini? Unasema UK hawathamini elimu halafu unakuja na hoja tena watoto wako wasomi mpaka wamekuwa wakufunzi hauoni kama hauna mwelekeo. Nahisi wewe uzee unakusumbua. Tulia ulee wajukuu.
kwani hujui ujuzi wa lugha kwa Mwandishi ni elimu kubwa ?Kutangaza idhaa ya Kiingereza Ndio Shule?
Hata ITV alikuwa anatangaza Idhaa ya Kiingereza akiwa na Airlin Malonga na Sauda [emoji3]
Ilikuwa ngumu kumbit yule Ustaadh wa Citizen TVkwani hujui ujuzi wa lugha kwa Mwandishi ni elimu kubwa ?
Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsiKikeke hana shule yule ni mhuni mhuni tu. Kilichomtoa BBC ni shule sio kingine.
Hivi inakuwaje mtu ana kazi nzuri na inalipa vizuri tu anarudi kufanya kazi ya kuteuliwa, Je kuna siri gani ambayo wenzetu wanayo? Tanzania si mbinguni aisee.Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.
Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.
Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.
Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.
Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.
Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.
USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.
Nawasilisha.
Sema umezoea maisha ya unafiki Kikeke shule hana, lazima kuishi kwa ukweli ujanja ujanja na uhuni ndio umemfisha hapo. Kikeke na Kitenge tofauti yao ni ndogo sana. Tuishi kwa ukweli mabadiliko ndani ya BBC ndio yamemtoa.Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsi
Labda niulize tu; Kwani huko BBC alijipa kazi mwenyewe au lile ni shirika la ndugu yake???
By the way, angekuwa hafanyi vizuri wangempandisha ngazi kiasi kile?
kuweni basi na kiasi tunapo ongelea maisha ya mtu (mwenzetu)
Watanzania tuna hulka ya kuoneana wivu sana na ndio sababu watu hawasaidiani, badala yake tuna achia majirani zetu wanachukua fursa zote nzuri huko nje sisi tukiendelea kupiga domo kwa kuchafuana....
Hata haujui unachokiongea. Hoja yako kuwa Wazungu UK hawaangalii elimu sasa unataka nikasome tena mbona unaongea kama zimekuruka mzee. Nyie ndio wazee wajinga mnaozeeka vibaya, turudi kwenye hoja ya haya yoote ni kuwa Kikeke shule ndio imemtoa hapo BBC. Sasa unakuja na hoja dhaifu sana. Nimeishi kwenye media za hapa nyumbani kama miaka 34 hivi najua ninachokiongea. Kuwa na uhuru wa hekima na mawazo sio ujuaji usio na mawanda.aah kumbe sio kosa lako ndugu yangu- ungalau umesoma kule kwa " Father dead Mother dead, now job". Nimekuelewa.. samahani, nilidhani ni wa level ya kuelewa maana ya QC au KC. nilikosea sana kusema maneno hayo. Jiongeze huko kwa wenye kiona mbali na usiishie hapo UDSM pekee...
Chukua mchOngo huu wa scholarship wa sheving labda utakusaidia, deadline bado hadi 6 Nov 2023: Apply | Chevening jaribu bahati yako ukaangaze macho na kuyatoa tongotongo usije sema hukujua....au Mtafute professor Makumila akupe mchongo wa Fulbright, ukishindwa huko, nenda jengo la umoja wa vijana palipokuwa makao makuu ya Unesco zamani na tafuta kitabu kinaitwa "study abroad prospectus", humo kuna ma-scholarships kibao ya kukusaidia kupanua mawazo duniani mpaka kwa mzee Yutong. Yote haya ni kwa kukusaidia tu. Kama hutaki, ruksa kupuuzia ushauri, mjumbe hauwawi... na ukitaka ushauri zaidi, ni pm nikusaidie jinsi dunia inavyo zunguka, sio kimatango pori kwa mlivyo karirishwa UDSM.
Majura kauza Radio yupo hoi hakuwa na akili ya Uongozi na utawala. Akikaririshwa akili za KIPUSA.Kwa kweli ameshusha sana CV yake. Ni bora hata angeanzisha kituo chake cha redio kama alivyofanya Abdalla Majura. Hata kijana mdogo Millard Ayo anamzidi ubunifu.
Wamekupa majibu gani?Sina uwezo wa kumfikia na kumuuliza hivyo ila waliotoka bbc nawafahamu ukimtoa huyo kikeke
Weka contacts basi twende kwa Pilato- mbona hilo hulitaki?Hata haujui unachokiongea. Hoja yako kuwa Wazungu UK hawaangalii elimu sasa unataka nikasome tena mbona unaongea kama zimekuruka mzee. Nyie ndio wazee wajinga mnaozeeka vibaya, turudi kwenye hoja ya haya yoote ni kuwa Kikeke shule ndio imemtoa hapo BBC. Sasa unakuja na hoja dhaifu sana. Nimeishi kwenye media za hapa nyumbani kama miaka 34 hivi najua ninachokiongea. Kuwa na uhuru wa hekima na mawazo sio ujuaji usio na mawanda.
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.
Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.
Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.
Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.
Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.
Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.
USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.
Nawasilisha.
Sasa huyo anayesema kikeke aliahidiwa usemaji wa serikali wapi ushahidi wake. Si aheri mimi nasema facts. Ni uongo bbc hawafanyi kwa mkataba? Je ni uongo wafanyakazi bbc hawana muongozo? Je tido hakua na kesi kisha kuhusu mkataba na star times?...Wewe ni mbishi wa kiswahili. Unapobisha jambo toa ushahidi. Usibishe tu kama upo kwenye kijiwe cha ghahawa.
Kikeke vs Mobhare Matinyi, liTISS lililokubuhu kiasi cha wenzake kuliogopa lisipewe uDGIS, nani anastahili kuwa Mkurugenzi wa Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali?Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.
Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.
Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.
Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.
Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.
Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.
USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.
Nawasilisha.
Hahahahaha unaleta hoja za kitoto sasa hizi.Weka contacts basi twende kwa Pilato- mbona hilo hulitaki?
Mshara ni wa kaqaida na ila miposho ndo kibao sababu ya safari nyingi ambazo mtu ktk nagasi hiyo anafanya.Hiyo position ina mshahara kiasi gani?
Maana kwa jinsi inavyoongelewa yaani kama almasi fulani hivi..
Umemaliza [emoji2956][emoji2956]Kwa mtu mwenye maarifa hawezi kutoa kashfa kama hizi kwa mwenzake kwa sababu tu ya chuki binafsi
Labda niulize tu; Kwani huko BBC alijipa kazi mwenyewe au lile ni shirika la ndugu yake???
By the way, angekuwa hafanyi vizuri wangempandisha ngazi kiasi kile?
kuweni basi na kiasi tunapo ongelea maisha ya mtu (mwenzetu)
Baadhi ya Watanzania tuna hulka ya kuoneana wivu sana na ndio sababu watu hawasaidiani, badala yake tuna achia majirani zetu wanachukua fursa zote nzuri huko nje sisi tukiendelea kupiga domo kwa kuchafuana....
Moirai Kwa patani… utoto ni you? Kwenda Kwa pilato?Hahahahaha unaleta hoja za kitoto sasa hizi.