Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Aliweka tamaa mbele.
 
Acha uongo yote unasema uongo mtupu. Eti kikeke aliahidiwa usemaji wa serikali?.. Nani alimahidi?
Kwanza ujue kazi za BBC ni za mkataba ukiisha sio lazima uprwe mwingine, na kwamba wafanyakazi wanafanya kazi kufuatana na mwongozo sio huru kabisa kama unavyofikiri. And them tido usisahau alipata kesi ya ufisadi sema tu ushikaji na umaarufu ukamsaidia kufutiwa kesi. Aliingiza TBC mkataba wa ovyo kabisa na star times ikawa kama star times wamemilikishwa haki zote za tbc.
 
Wewe ni mbishi wa kiswahili. Unapobisha jambo toa ushahidi. Usibishe tu kama upo kwenye kijiwe cha ghahawa.
 
Serikali Ina kazi nyingi kama aliahidiwa atapewa just relux
 
Sasa nimeelewa kwanini unamuandama mno Salim. Fanya mpango mrudiane mkuu. Afu Salim ni muislamu, ana uhuru wa kuoa hadi wake wanne. Acha wivu wa kike; kizuri kula na wenzako.
 
[emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
..mtu ndani ya miaka mitatu anasoma degree mbili katika chuo hicho, jiongeze
 

Attachments

Mkuu achana na watanzania hawa wame laanika

Wana chuki na ma wivu tu...

Wanamponda kikeke eti hana shule, isitoshe wao hapo walipo ni maskini choka mbaya...!!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
halafu utasikia kila siku kwamba hakuna kazi Tanzania, kumbe ni uvivu wa kufikiri tu, huyu bwana ningependa sana nimtolee mfano, bahati yake hajatoa contacts zake maana ningeanza naye ligi huko kwa pilato ninapopatia kipato changu cha kila siku... Hili jambo la kikeke kama ni la kweli , ni la ajabu sana. Kumaliza kipaji cha mtu hivi hivi si jambo jema kwa kweli... ni vema wangemwacha huko huko BBC kuliko kumrudubuni halafu anakuka kuishia vijeridio vya ajabu ajabu...
 
Toa contacts zako twende tufanye ligui kwa pilato... si unataka...
 
Huyo nae aliwekwa tu hapo kwa vile Mama hakuwa na jinsi baada ya kumuondoa ukurugenzi wa mawasiliano ikulu,si unaona Samia kamuondoa. Zamani kabisa enzi ya JK ninakumbuka alikuwepo hapo mtoto wa Kawawa ambae shule ipo.Yule binti alisoma UDSM.
Je unaweza kunionyesha mapungufu ya msigwa wakati yupo msemaji wa serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…