Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Kwa hiyo Zuhura Yunus nae alifundishwa akafuzu huko BBC? Please!

Tupa kule wote hawa mizigo kuanzia Charles Hillary, Zuhura Yunus, Salim Kikeke, wote ni hot garbage. Taka mbichi.

Nani aliwahi kurudi kutoka mashirika ya habari ya Magharibi akawa tofauti, aka-make a difference ?
wote ni hot garbage. Taka mbichi.[emoji3064]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichoelezwa Hapa na kumposa kikeke Ni kavideo chake Cha kudhiaki hoja ya bandari kwa kuchapisha maudhui ktk mtando wake wa Instagram na Kisha kushare na followers wake

Kivideo hiko kilimuonesha akiigiza Kama mtu anasain mkataba bila kusoma vzr Kisha anamuuliza umesign ....umesaini Kisha akasema sijasign ila nimesaini

Hicho ndicho kilichomponza kikeke na efm hakn maokoto
Please share the video [emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.
Ulichokisema si habari hisipokuwa ni umbea na hisia za kutunga.Unatuambia Kikeke alikuwa analipwa mamilioni ya pound za Uingereza, Kikeke ni nani kulipwa hayo mamilioni ya pound?

Mikataba ya kazi ina ukomo, huwezi juwa Kikeke aliajiriwa BBC kwa terms zipi. Hii ya Tido Muhando au Zuhura Yunus siyo formula kwamba mtu akifanya kazi BBC ataishia kuchukuliwa na kufanya kazi Serikalini. Labda utuambie huyu aliyechukua hii nafasi ya Jafari ana mapungufu gani dhidi ya Kikeke? Kikeke watamwachishaje kazi kabla ya kumfanyia vetting?
 
Hili ndo tatizo la wabongo... huwa hampendani!

Ulitaka wateseke wawe na maisha magumu kama nyie mliong'ang'ana kuishi hapa na hamkutaka kuvuka mipaka kutafuta fursa zingine za maisha?!
Mpumbavu wewe,Mimi nilikuwa najaribu kumuonesha makosa ya kimaandishi aliyoyafanya kwa sababu si kweli kwamba wanalipwa mamilioni ya paundi kwa mwezi huko BBC kama alivyoandika mwandishi labda angesema hizo paundi wanazolipwa ukija kuzibadilisha kwa hela ya Bongo ndio utapata hayo mamilioni(kwa Tshs).
Uwe unatumia akili sio kukurupuka tu kama nyumbu.
 
Shangaa yani wanamkuza wakati mtu mwenyewe ni kilaza tu.Kwa vile alitangaza BBC swahili. At least angetangaza BBC english basi kama Larry Magowo.

Amelipa machawa kibao kumfanyia promo ya kimchongo mitandaoni, wameishia kumvimbisha kichwa bure tu na kumponza.

Mtu mwenyewe utoto mwingi na mikato ya kishamba shamba tu as if hana exposure ya ughaibuni.

Kupata 'connection' at BBC Swahili ndiyo wanamuona booonge la mtu smart kichwani, ilihali ni mweupe tu na kawaida saaaana below standards. Tunamjua in & out.

Aendelee kuomba dua. Mamlaka zitamuona tu hatimaye na kumjadili positively, hata kwa positions nyinginezo.

-Kaveli-
 
Ninachojua, Kikeke na ma legend wenzake wa BBC Swahili waliamua kumaliza mikataba ya pale BBC baada ya studio kuhamishwa kutoka London kwenda nairobi.

Na ni watangazaji wengi tu waliamua kuacha kazi. Hizo Habari za kusema aliacha Kwa kutonywa Kuna mchongo Sio kweli.
Unachekesha kweli! Ina maana baada ya kuhamia Nairobi wangeanza kulipwa mishahara ya kibongo hivyo wakaone bora waondoke? Kufanyia kazi mazingira tofauti na London huku ukilipwa mamilioni ya paundi tatizo liko wapi? Huna hoja wewe!
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.
Hivi kumbe Salim kike ni Kijana!
 
Ndugu, labda na au hunijui na hilo box pia. umekaririshwa kwamba ukienda huko ni kubeba box, kama walibeba ni wao , sio wote.
Jua tu kwamba hayo niliyo yasema ni kweli tupu. Huko UK nimeishi si chini ya miaka 23, nina watoto ambao kwa sasa ni lecturers wa Oxford na Cambridge na nimefanya kazi ya Sheria kama Top QC na au KC kwa zaidi ya miaka 15 ktk tassisi zinazo heshimika duniani mpaka Tanzania pia achilia mbali serikali ya Uingereza yenyewe. Hivyo ukiwa unataka ligi, jiandae. Sasa sema uongo wangu uko wapi ili hali kwa mfano mdogo tu ukitoka huko bongo na masters hawaithamini sana huko UK, na lazima uwe kitchen porter kwanza. Kama unataka ligi, weka contacts zako nikufungulie kesi tuone utachomoka vipi. Ni tumie kwenye private message kama unaogopa kuzimwaga hapa ili tuone muongi ni nani. Mwana kulitafuta , mwana kulipata, twende kwa pilato, si unataka...
Kujali ubora wa Elimu na kujali uzoefu wa kazi ni vitu viwili tofauti.
Msamehe bure mkuu; hajui alitendalo. Anasumbuliwa na utoto tu akikuwa ataacha.
 
Amelipa machawa kibao kumfanyia promo ya kimchongo mitandaoni, wameishia kumvimbisha kichwa bure tu na kumponza.

Mtu mwenyewe utoto mwingi na mikato ya kishamba shamba tu as if hana exposure ya ughaibuni.

Kupata 'connection' at BBC Swahili ndiyo wanamuona booonge la mtu smart kichwani, ilihali ni mweupe tu na kawaida saaaana below standards. Tunamjua in & out.

Aendelee kuomba dua. Mamlaka zitamuona tu hatimaye na kumjadili positively, hata kwa positions nyinginezo.

-Kaveli-
Hizi chuki Kwa watu sijui zinatoka wapi asee
 
Amelipa machawa kibao kumfanyia promo ya kimchongo mitandaoni, wameishia kumvimbisha kichwa bure tu na kumponza.

Mtu mwenyewe utoto mwingi na mikato ya kishamba shamba tu as if hana exposure ya ughaibuni.

Kupata 'connection' at BBC Swahili ndiyo wanamuona booonge la mtu smart kichwani, ilihali ni mweupe tu na kawaida saaaana below standards. Tunamjua in & out.

Aendelee kuomba dua. Mamlaka zitamuona tu hatimaye na kumjadili positively, hata kwa positions nyinginezo.

-Kaveli-
Huyu tunamjua vizuri,anajidai mjanja na huko UK si alioa mzungu ili apate makaratasi ya kudumu ,na akamuacha mkewe (Rukia Mtingwa) Kisa tamaa ya uraia wa kwa Malkia Elizabeth. Yaani anataka kazi serikalini kwa nguvu zote. Labda atapewa hata ka ukuu wa wilaya si unajua anategemea connection ya Zuu.
 
Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali. Baada ya kufika nchini alisubiri kwa muda mama aachie nafasi ya uteuzi bila mafanikio. Ndipo akaamua kwenda kujishikiza pale EFM ili mama akipangua nafasi za uteuzi yeye ateuliwe kuwa msemaji wa serikali. Inavyoonekana ni kama vetting bado ilikuwa haijakamilika.

Baadaye upekuzi ulipofanyika kwa kina zaidi, ikaonekana nafasi ya usemaji wa serikali haitamfaa. Nafasi ile inamfaa mtu muongeaji na mwenye uwezo wa kuelekezwa kusema uongo akatoka hadharani kuusema na kuutetea kwa macho makavu. Kikeke ni mtu wa msimamo na asiyefundishwa nini cha kuongea. Ni mtu mwenye kusimamia maadili ya habari na anamuogopa Mungu. Ni vigumu sana kumwambia aende hadharani kusema uongo kwa lengo tu la kutetea jambo au madudu ya serikali.

Hiki ndiko kilichomponza kijana wa watu licha ya kushawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi na serikali lakini kazi aliyoahidiwa amekuja kupewa mtu mwingine. Wafanyakazi wa BBC huwa wanafundishwa maadili ktk taaluma ya habari yanawafanya waive sawasawa na kutokubali kuyumbishwa.

Tukumbuke pia Tido Mhando misimamo yake ni sawa na ya Kikeke. Tido aliombwa kurudi nchini akapewa TBC. Baada ya kunyesha msimamo usioyumba katika kusimamia ukweli kwenye habari, serikali ikamtupa nje na kisha kumfungulia kesi ya bandia ya uhujumu uchumi. Mpaka sasa nadhani hiyo kesi anateseka nayo mahakamani.

Kumbuka mtu kaacha kazi BBC anakolipwa mamilioni ya paundi za kingereza anashawishiwa kurudi nyumbani apewe kazi nzuri halafu hapewi! Hii sio sawa. Kama kazi hakuna au huna uhakika wa kumpa kazi, ni bora wangemuacha abaki BBC aendelee kuvuna paundi zake angerudi nyumbani afungue media awaajiri vijana wenzake.

Tazama mfano wa Abdalla Bulembo Majura aliyevuna paundi za kutosha akiwa BBC aliporudi nyumbani amefungua kituo cha redio ABM FM kule Dodoma amewaajiri vijana wa kitanzania wanapata ridhiki zao za kila siku bila tatizo. Kama Kikeke angeachwa aendelee kukaa BBC hadi astaafu angerudi nchini akiwa na paundi za kutosha akafungua kituo cha TV au redio akawaajiri vijana wenzake. Sio haki kumuahidi mtu kuacha kazi ya pesa nyingi halafu anarudi nyumbani kwa matumaini ya kupewa kazi, anatoswa mazima. Tabia hii sio nzuri na haitoi mfano mzuri kwa vijana wachapa kazi kama Kikeke.

USHAURI WANGU
Naishauri serikali impangie kazi nyingine ndugu Salim Kikeke kwa kuwa wameamua kugawa nafasi yake kwa mtu mwingine kinyume na makubaliano. Huu mchezo wa kutosana ukiendelea, itakuwa vigumu kuwashawishi vijana wezalendo kutoka ughaibuni kurudi nyumbani kuitumikia nchi yao. Nchi hii ni yetu sote, sio mali ya kikundi fulani cha watu.

Nawasilisha.
Acha kujifia we kikeme huna akili hiyo. Kwanza ukipata div three o level tena masomo ya kike ya hgk
 
Mimi siamini kama aliacha BBC kwa sababu ameahidiwa kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali! Ni hisia tu zilizowasukuma watu kuamini ameacha BBC kwa sababu ameahidiwa nafasi hiyo!
 
Back
Top Bottom